geniusbaraka
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 795
- 155
Hahahahhha. Yaan imaginary events ndio iwekwe na kutumik dunian kote?? Is it logicall?????
Dunia kote wanafahamu saiz ni mwaka 2019 yaan WOTE WANAABUDU UKUU WA KUZALIWA KWA KING HIMSELF JESUS.. HATA SIMU ZILIZOCHINA ZINAONESHA LEO NI MWAKA 2019.....
Dunia kote wanafahamu saiz ni mwaka 2019 yaan WOTE WANAABUDU UKUU WA KUZALIWA KWA KING HIMSELF JESUS.. HATA SIMU ZILIZOCHINA ZINAONESHA LEO NI MWAKA 2019.....
Ni theoritical timeline of birth a mythical human being figure called Jesus Christ..
It is a theory that there existed this imginary figure head called Jesus Christ kwahiyo tu-adopt birth date yake kwenye timeline kama year zero.
Na hiyo ni kutokana na Gregorian dating..
Ukienda china wana yao.....
Ukienda kwa Mohamed SAW wana yao...
Ukienda India wana yao.....
Egypt wana yao......
Sasa wewe kwavile umezaliwa kwenye influence ya Western civilization wanaotumia Gregorian calenda dating unajitia una mamlaka yoooote ya time and calenda dating ya civilizations zote duniani??!!!
Mavi yenu na influence mliyorithi ya western civilization...
Time dating imegawanyika kwendana na civilizations mbalimbali duniani...
So shut up with your imaginary theories!