Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

Basi sawa mkuu..
Nishawahi muuliza huyo

Dini ya kweli ni ipi akanambia uislamu

So wakristo wanaabudu pumbu ...

Yaan i was terrified

Nlchukia sana

Huwa nashangaa sana muda wa kutetea uwepo wa Mungu tunashirikiana nao

Tukitoka huko wanaanza kutusema na huwezi kuta mkristo anamsema mwislamu labda mara chache sana

Ni watu wanashangaza sana

I have ignored that mani his insanity ni maradufu
 
Nishawahi muuliza huyo

Dini ya kweli ni ipi akanambia uislamu

So wakristo wanaabudu pumbu ...

Yaan i was terrified

Nlchukia sana

Huwa nashangaa sana muda wa kutetea uwepo wa Mungu tunashirikiana nao

Tukitoka huko wanaanza kutusema na huwezi kuta mkristo anamsema mwislamu labda mara chache sana

Ni watu wanashangaza sana

I have ignored that mani his insanity ni maradufu
Hahahaaa umenifurahisha asee kama kawaida yako! Jamaaa hua nashindwa kumuelewa kabisa. Kaweka mentality ya udini kuliko ufikiri
 
Hahahaaa umenifurahisha asee kama kawaida yako! Jamaaa hua nashindwa kumuelewa kabisa. Kaweka mentality ya udini kuliko ufikiri
Hebu Imagine mkuu huyu bwana anakwambia jua ndo linaizunguka dunia 😅

Ni mambo ya ajabu sana

Nmempa swalehe stori za huyu bwana kuhusu hilo suala la solar .....amecheka sana
 
Hebu Imagine mkuu huyu bwana anakwambia jua ndo linaizunguka dunia 😅

Ni mambo ya ajabu sana

Nmempa swalehe stori za huyu bwana kuhusu hilo suala la solar .....amecheka sana
Mkuu sio yeye kwao elimu ya sayansi wameipa kisogo so hua hawajui kitu
 
Mkuu sio yeye kwao elimu ya sayansi wameipa kisogo so hua hawajui kitu
hivi kuna ushahidi wowote unaoonesha kwamba jua halimove..?

tukiachilia maneno matupu ambayo kila mtu anaweza kusema lake, je kun ushahidi unaoonesha jua halimove..?
 
View attachment 1125684
Salute..
kuna msemo sijui tulifundishwa au tulisoma wenyewe kwenye vitabu vyetu vya dini (Bibble & Qu'ran) msemo huo unasema kua Miaka elfu moja duniani ni sawa na siku moja mbingu, kiukweli kwa uelewa wangu mdogo wa maswala ya Theologia na Physics nasema huu msemo ni uongo ina wezekana waliotufundisha au tulipousoma kwenye vitabu tuliutafsiri tofauti.
Kwanza kama ulisoma uziwangu wa Time Travel kiasi wadau waliweza kuelezea kadri wajuavyo effect ya Time kwenye Maisha/Uhai wa mwanadamu, nilivutiwa zaidi na mchngowa mkuu BASANORARE kwenye comment hii Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo? sikutaka nimjibu pale nikaona nianzishie mada hii kitu labda kila mtu atoa mawazo yake juu huu msemo/Andiko.
.......
Ref kutoka Qu'ran: Surat Hajj 47, allah anasema kuwa siku moja ya Allah ni sawa na miaka elfu moja "1,000".
Ref from Bible: Zaburi 90:4 Kwako miaka elfu moja ni kama siku moja tu, ni kama jana ambayo imekwisha kupita, kwako ni kama mkesha mmoja wa usiku
2Petro 3:8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja
Haya ndio maandiko ambayo yamefanya kuenea kwa msemo ambao mimi kwa muono wangu naona si kweli kwa jinsi watu wanavyo
yatafsiri, mimii naelewa hivi kuhusu haya maandiko and I hope theseare aint Blasphemy kwani the Almighty hapendi wasiotaka kuhoji...Let's go!

Kwanza kabisa Kiasili Mungu ana sifa kuu ambazo ni Omniscience (Ajuaye yote), Omnipotence (Mwenye uweza na nguvu zote) na Omnipresence (aliyoko kila mahalii).
tunaposema kua kwa Mungu/Mbinguni siku moja sawa na miaka 1000 ya duniani msemo huu unauvunja vipande vipande ile sifa ya Mungu ya kua Ana uwezo wa kila kitu na Hana mwanzo wala mwisho.... Kivipi???????????
duniani sababu kuu ambayo inatufanya twafariki ni kwasababu i)Dhambi ya asili (ii)ili kuweza kubalnce nature na kuruhusu existence ya viumbe vingine duniani (iii)time. Yes tunakufa kwakua kuna muda duniani ambao unatuhesabia siku zetu tunazoishi hapa dunia ..Time is the biggest threat to mankind ndio maana nilisema kwenye mada yangu ya time Travelling kua tukiweza kudhibiti muda basi tunaweza kudhibiti KIFO. Kwa mantiki hiyo nachelea kusema kwamba kama kwa Mungu kuna Muda basi Mungu ana mwanzoo, Mbinguni kuna vifo there is no eternal life at all, Yawezekana basi hakuna Mungu mmoja maana watakua wanapita/wanafariki (God Forgive I feel like I'm going too far).
Kwa mujibu Fundamental physical quantity, the SI-Unit of Time is Second and other si-unit are year,day,month,decade,millisecond,century etc...Hivyo basi kama mbinguni Muda basi Mungu atakua ana muda maalumu aliotokea(ana mwanzo) maana ili muda uweze kuhesabiwa lazima kuwe na jua linalo zunguka, haingii akilini kwamba kila ikifika miaka elfu ya duniani basi Mungu hua analala kwakua jua limezama usiku umeingia haiwezekani.

Ninavyofahamu Mimi kwa Mungu hakuna muda (Timeless) hakuna future wala past kila muda kwake ni present, Mungu hawzi eti kesho nitafanya hivi na hivi big Nope ndio maana malaika hawazeeki wala hawafi maana hakuna Muda waliowekewa unaohesabu miaka yaoo labda technically aliyewaumba anajua umri wao. Sie wandamu tumewekewa muda ili tuweze kupanga malengo yetu, ili tuweze kuishi umri fulani tulipangiwa na Muunmba,,ili siku moja tufe that's all..
Kwa hiyo basi kwa kusema hivo yawezekana msemo huu inawezekana kutokna na ambiguity ya kiswahili chetu wakati unatafsriwa kutaka version ya lugha zingine sie tuliuelewa vibaya. au kwa vyovyote vile ulipokelewa kimakosa kama vitabu vinne vya wakorintho ilivyokua..

Mwisho kabisa niseme kua huu ni muono wangu na sio pie kwamba kila mtu alzima aelewe hivyo..Lakini naamini kwa Mungu ni Timeless
Anybody Concur with me......???????????
~Da'Vinci

Da Vinci shida yako unafanya uchambuzi wa mambo bila kufanya utafiti hata kidogo wa kifikra. Hivyo basi unakosa majawabu kwa mambo unayojaribu kuyapatia ufumbuzi...
Ngoja nikupe angalau mbinu za wewe kuyajua mambo.

1. Inatakiwa kujifunza kwa jina la Aliekuumba
2. Kwa sababu ni Muumba wako pekee aliemfundisha mtu wa Mwanzo mambo asioyoyajua..
3. Akili yako inatakiwa iwaze nje ya mipaka yake..mf ulikuwa wapi kabla ya kuja katika sayari hii ya dunia..
4. Jaribu kufanya jambo dogo sana.la kunyoosha kivuli cha mti uliopinda..
5. Jipime na ujifunze kutofautisha kati matter not matter..
Kama umenielewa utakuwa umeuwelewa huo msemo "Siku moja mpinguni ni sawa na miaka 1000 duniani".
 
View attachment 1125684
Salute..
kuna msemo sijui tulifundishwa au tulisoma wenyewe kwenye vitabu vyetu vya dini (Bibble & Qu'ran) msemo huo unasema kua Miaka elfu moja duniani ni sawa na siku moja mbingu, kiukweli kwa uelewa wangu mdogo wa maswala ya Theologia na Physics nasema huu msemo ni uongo ina wezekana waliotufundisha au tulipousoma kwenye vitabu tuliutafsiri tofauti.
Kwanza kama ulisoma uziwangu wa Time Travel kiasi wadau waliweza kuelezea kadri wajuavyo effect ya Time kwenye Maisha/Uhai wa mwanadamu, nilivutiwa zaidi na mchngowa mkuu BASANORARE kwenye comment hii https://www.jamiiforums.com/threads...-kuwa-suluhisho-la-kifo.1585916/post-31526494 sikutaka nimjibu pale nikaona nianzishie mada hii kitu labda kila mtu atoa mawazo yake juu huu msemo/Andiko.
.......
Ref kutoka Qu'ran: Surat Hajj 47, allah anasema kuwa siku moja ya Allah ni sawa na miaka elfu moja "1,000".
Ref from Bible: Zaburi 90:4 Kwako miaka elfu moja ni kama siku moja tu, ni kama jana ambayo imekwisha kupita, kwako ni kama mkesha mmoja wa usiku
2Petro 3:8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja
Haya ndio maandiko ambayo yamefanya kuenea kwa msemo ambao mimi kwa muono wangu naona si kweli kwa jinsi watu wanavyo
yatafsiri, mimii naelewa hivi kuhusu haya maandiko and I hope theseare aint Blasphemy kwani the Almighty hapendi wasiotaka kuhoji...Let's go!

Kwanza kabisa Kiasili Mungu ana sifa kuu ambazo ni Omniscience (Ajuaye yote), Omnipotence (Mwenye uweza na nguvu zote) na Omnipresence (aliyoko kila mahalii).
tunaposema kua kwa Mungu/Mbinguni siku moja sawa na miaka 1000 ya duniani msemo huu unauvunja vipande vipande ile sifa ya Mungu ya kua Ana uwezo wa kila kitu na Hana mwanzo wala mwisho.... Kivipi???????????
duniani sababu kuu ambayo inatufanya twafariki ni kwasababu i)Dhambi ya asili (ii)ili kuweza kubalnce nature na kuruhusu existence ya viumbe vingine duniani (iii)time. Yes tunakufa kwakua kuna muda duniani ambao unatuhesabia siku zetu tunazoishi hapa dunia ..Time is the biggest threat to mankind ndio maana nilisema kwenye mada yangu ya time Travelling kua tukiweza kudhibiti muda basi tunaweza kudhibiti KIFO. Kwa mantiki hiyo nachelea kusema kwamba kama kwa Mungu kuna Muda basi Mungu ana mwanzoo, Mbinguni kuna vifo there is no eternal life at all, Yawezekana basi hakuna Mungu mmoja maana watakua wanapita/wanafariki (God Forgive I feel like I'm going too far).
Kwa mujibu Fundamental physical quantity, the SI-Unit of Time is Second and other si-unit are year,day,month,decade,millisecond,century etc...Hivyo basi kama mbinguni Muda basi Mungu atakua ana muda maalumu aliotokea(ana mwanzo) maana ili muda uweze kuhesabiwa lazima kuwe na jua linalo zunguka, haingii akilini kwamba kila ikifika miaka elfu ya duniani basi Mungu hua analala kwakua jua limezama usiku umeingia haiwezekani.

Ninavyofahamu Mimi kwa Mungu hakuna muda (Timeless) hakuna future wala past kila muda kwake ni present, Mungu hawzi eti kesho nitafanya hivi na hivi big Nope ndio maana malaika hawazeeki wala hawafi maana hakuna Muda waliowekewa unaohesabu miaka yaoo labda technically aliyewaumba anajua umri wao. Sie wandamu tumewekewa muda ili tuweze kupanga malengo yetu, ili tuweze kuishi umri fulani tulipangiwa na Muunmba,,ili siku moja tufe that's all..
Kwa hiyo basi kwa kusema hivo yawezekana msemo huu inawezekana kutokna na ambiguity ya kiswahili chetu wakati unatafsriwa kutaka version ya lugha zingine sie tuliuelewa vibaya. au kwa vyovyote vile ulipokelewa kimakosa kama vitabu vinne vya wakorintho ilivyokua..

Mwisho kabisa niseme kua huu ni muono wangu na sio pie kwamba kila mtu alzima aelewe hivyo..Lakini naamini kwa Mungu ni Timeless
Anybody Concur with me......???????????
~Da'Vinci
Sikuachi Gizani jamaa yangu inatakiwa ufahamu kuna aina mbili za time na period..
1.Muda na Wakati kabla ya "Uumbaji",
2.Muda na wakati baada ya "Uumbaji".
1,(a)Siku 6 za uumbaji na ya saba ya mapumziko.hazikua na system yoyote ya galaxy wala hakukuwa na jua na mwezi na wala hazikuwa na 24 hrs wala usiku na mchana.
Fanya utafiti kulikuaje..hii ni kanuni ya kuwaza nje ya box.
2(a)Muda na wakati baada ya uumbaji..Zimewekwa kwa malengo maalumu..
1,kutuwezesha kutunza hesabu za miaka.
2.Kutuwezesha kupanga mikakati.Mipango na shughuli za kila siku.

Kwa taarifa tu..muda na wakati huu una ukomo.na ukomo wake ni pale tu jua litakapozima..
Hivyo basi muda na wakati kabla ya Uumbaji hazina ukomo wakati Muda na wakati baada ya uumbaji una ukomo..
Nakusihi na kukuasa unapojaribu kuanzisha mada lazima uwe na ufahamu nayo Punguza kukurupuka kwenye mambo yanayohusu mambo ya kiroho.
 
Huu msemo upo sahihi kwasababu ya kutufundisha wanadamu na viumbe hai kwasababu muda ndio huathiri maisha yetu lakini kwa Mungu hakuna muda wa mwanzo wala wa mwisho

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
Utunuo wa Yohana 1:8

Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
Ufunuo wa Yohana 21:6

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
Ufunuo wa Yohana 22:13
Kingine kincho sound tofauti masikioni mwangu ni huu msemo kua ili uelewe maandiko ya biblia inabidi roho mtakatifu akushukie kwanza kwakweli mm sidhani kama ni kweli kwamba inambidi ashuke kwanza kisha ndio akufunulie ...noo asee hapana. Kwanini?

Kwa mujibu wa katekismu au mafundisho yoyote yale ya kikristo inafundisha kua Roho mtakatifu hutupatia mapaji yake saba ambapo kati ya hayo mapaji ni Hekima na Elimu. indi tu binaadamu anapozaliwa Mungu humbarikia kila kitu baadhi ya mapaji tunazaliwa nayo japo sio wote, moja ya paji tunalozaliwa nayo ni paji la Hekima, japo kutokana na malezi au mazingira anayokulia mtoto paji hilo laweza kufifia. Hivyo basi katika kutafsiri maandiko ya bible kinachotumika ni Hekima, paji la hekima ndio linalowezesha kuitafakari andiko la biblia, na ukumbuke anayetoa uwezo huo wa kua na hekima Ni Roho mtakatifu.. Hekima hiyo inakuwezesha pindi unaposoma andiko tu kwa mara ya kwanza mojakwamoja unafahamu kua hili andiko lina ujumbe fulani ndani yake, kama vile darasani kuna mtu akiona swali kwa mara ya kwanza tu bila kucherewa haraka anafahamu hili swali lahitaji nini. Hivyo basi kuna watu wanayo hekima hiyo wengine hawana..katika kutafsiri maandiko pia kuna makundi mawili ya watu ambayo ni (i)Watu ambao wakiona andiko wanalielewa na wanaweza kilielezea mbele ya wengine (ii)kuna wengine wakielewa andiko hawawezi kulielezea kwa wengine kutoka na uwezo mdogo wa kuwasilisha hoja mbele za watu {nipo kundi namba mbili}

kwa mantiki hiyo Roho mtakatifu hakushukii ili uweze fafanua andiko ila anakua ashakujalia kipawa chake toka siku wazaliwa...

pia haya ni mawazo yangu
 
Huu msemo upo sahihi kwasababu ya kutufundisha wanadamu na viumbe hai kwasababu muda ndio huathiri maisha yetu lakini kwa Mungu hakuna muda wa mwanzo wala wa mwisho

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
Utunuo wa Yohana 1:8

Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
Ufunuo wa Yohana 21:6

Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
Ufunuo wa Yohana 22:13
Mimi hunichanganya sana mkuu..
 
Muda umeanza kutokea baada ya Uumbaji wa Mungu. Huo msemo una maana ya kuwa Mwenyezi Mungu hajafungwa katika muda, ila Yeye ndio ameuumba muda. Ndio maana siku moja ni kama miaka elfu na miaka elfu ni kama siku moja.
 
Muda umeanza kutokea baada ya Uumbaji wa Mungu. Huo msemo una maana ya kuwa Mwenyezi Mungu hajafungwa katika muda, ila Yeye ndio ameuumba muda. Ndio maana siku moja ni kama miaka elfu na miaka elfu ni kama siku moja.
Ahsante sana mkuu.
Kwa kuongeza point.. so kwa Mungu hakuna muda right?
 
Ahsante sana mkuu.
Kwa kuongeza point.. so kwa Mungu hakuna muda right?

Kaka kuna vitu tunajifikirisha bila hata sababu za kufikiri.Muda ni kiumbe kama upepo. njaa, Joto, baridi,Kifo,Uhai na vingine vingi ambavyo bado hatujafanikiwa kuvifaham..kuna kanuni na taratibu ambazo muda umewekewa na muumba wake.akina muda wapo wengi kama zilivyo Galaxy.wapo wakubwa na wadogo

Kwa muktadha huo ni kwamba jambo tunalolijadili ni sawa na kuwazungumzia mbingu na Ardhi.wao ni kitu kimoja japo hakuna hata Binaadam mmoja anaijua mbingu hali yakua upeo wa macho yetu unatuambia ile ndio mbingu.

Akili zetu wanaadam zimefungwa kama namba kuna 0 mpaka 9, hakuna zaidi ya hapo..ili uufaham ulimwengu huu na alieumba inakupasa utoke nje ya mfumo huu wa kufikiri ulionao kama hutoweza basi tambua utafikiri kuanzia 0 mpaka 9 na abadani hutoweza kupata jibu la kitu chochote kinachotatanisha katika ulimwengu huu.
"Huwezi kuhadithia uchungu wa kifo kabla haujafa".Umenielewa....
 
Inaonekana hujaelewa nilichokiandika,soma tena na kama hujaelewa jambo bora uulize.

Uislamu hautaki kufanana na Ukristo na wala hautafanana na Ukristo,sababu huwezi kunipa ushahidi wa kuonyesha ya kuwa UKRISTO ni dini ya kweli.

Vipi umkute mkristo atake kufanana na sisi wakati Ukristo si dini ya kweli mzee ? Hao unaodhani wanalazimisha Uislamu ufanane na Ukristo,hawaujui Uislamu.

Mwenzako nimema maelezo ya kuonyesha tamko "Msahafu" si tamko maalumu,linaenea katika kila chenye mkusanyiko wa kurasa.

Ungeelewa nilicho kiandika usingesema hayo uliyoyaandika,umakini unatakiwa sana.
Wewe si muislamu halisi kama unathubutu kuyapinga maneno ya mtume Muhammad (s.a.w) juu ya ukristo
 
Back
Top Bottom