The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
- Thread starter
- #41
Wewe ni popoma la x-mass hujaelewa nilichoandika, nimeweka bayana awe na shughuli laki ni biashara au miradi ya familia sio kaajiriwa.Hakuna mzigo mkubwa kama kuwa na mwanamke tegemezi! Ni hatari sana lazima ufikiri siku umeshindwa kufanya kazi au imekufa yeye na wanao wataishi vipi.
Mwanamke tegemezi ni mzigo