The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Kuna wanaume kabla ya kuoa anauliza mwanamke anafanya kazi gani, " nataka mwanamke wa kusaidiana nae maisha"
Matokeo yake mmoja akihamishwa kazi mume yuko Iringa mume yuko Mwanza watoto mako Kibondo kwa bibi, sasa hii ni familia au majanga ??!
Ukifuatilia hata humu jf nyuzi nyingi za migogoro ya familia zinaletwa na hawa mabwana "nataka mwanamke wa kusaidiana maisha" tulishawaambia wanawake wenye vijiajira wana kiburi na jeuri na ndoa hua haina umuhimu kwako kama viajira vyao hamsikii.
Japo wapo waliooa wanawake wenye viajira na wana kaamani ila ni wachache sana kama albino wa kimasai (mara ngapi umekutana na masai albino ?!,) kanuni oa mke weka ndani kama unataka ajishughujishe mfungulie biashara ya hadhi ya kati maisha yatakua muruaa, hawa wanamake wa vijiajira hata kama analipwa kalaki sita tu atajiona kama analipwa 10m lazima akuletee jeuri kisa kilaki sita chake.
Hakuna mapenzi ni mashindano ndani ya ndoa hakuna mwenye muda na mwenzie hata muda wa mapumziko mume yuko facebook mke yuke jf anabishana na wanaume na avatar fake.
Hawa wanaume washamba sana kingine wasichokijua ni kua wanawake ni wabinafsi sana. Utamuoa mwenye kaajira ushuzi ati mtasaidiana maisha ila hata cent moja yake hutaiona na siku akinunua hata mkate tu hapo nyumbani utatamani kuhama.
Matokeo yake mmoja akihamishwa kazi mume yuko Iringa mume yuko Mwanza watoto mako Kibondo kwa bibi, sasa hii ni familia au majanga ??!
Ukifuatilia hata humu jf nyuzi nyingi za migogoro ya familia zinaletwa na hawa mabwana "nataka mwanamke wa kusaidiana maisha" tulishawaambia wanawake wenye vijiajira wana kiburi na jeuri na ndoa hua haina umuhimu kwako kama viajira vyao hamsikii.
Japo wapo waliooa wanawake wenye viajira na wana kaamani ila ni wachache sana kama albino wa kimasai (mara ngapi umekutana na masai albino ?!,) kanuni oa mke weka ndani kama unataka ajishughujishe mfungulie biashara ya hadhi ya kati maisha yatakua muruaa, hawa wanamake wa vijiajira hata kama analipwa kalaki sita tu atajiona kama analipwa 10m lazima akuletee jeuri kisa kilaki sita chake.
Hakuna mapenzi ni mashindano ndani ya ndoa hakuna mwenye muda na mwenzie hata muda wa mapumziko mume yuko facebook mke yuke jf anabishana na wanaume na avatar fake.
Hawa wanaume washamba sana kingine wasichokijua ni kua wanawake ni wabinafsi sana. Utamuoa mwenye kaajira ushuzi ati mtasaidiana maisha ila hata cent moja yake hutaiona na siku akinunua hata mkate tu hapo nyumbani utatamani kuhama.