Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,672
- 13,067
Yako wewe na jiwe au una maana gani?Okay sawa umeandikia ulichokiandika. Sasa unachukua hatua gani?
Yule mpuuzi hata kama hajafanya kosa hilo lakini alichokua anakifanya katika mitandao kilikua kinahatarisha sana Amani ya nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app