JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Vitisho anavyopokea Tundu Lissu vinatoka kwa wasaidizi wa Rais Magufuli ambao wameshindwa kumwambia bosi wao ukweli.
Wanamdanganya Rais Magufuli kuwa anatukanwa, lakini ukweli ni kwamba Tundu Lissu anasema mambo ambayo yalitakiwa yasemwe na washauri na wasaidizi wa Rais Magufuli.
Rais Magufuli ameponzwa na watu wanaomshangilia kwa kila analofanya hata pale "anapochemka" waziwazi.
Wanamdanganya Rais Magufuli kuwa anatukanwa, lakini ukweli ni kwamba Tundu Lissu anasema mambo ambayo yalitakiwa yasemwe na washauri na wasaidizi wa Rais Magufuli.
Rais Magufuli ameponzwa na watu wanaomshangilia kwa kila analofanya hata pale "anapochemka" waziwazi.