shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 890
- 1,398
assalamu alaykum!
Ni muda sasa nimekuwa na rafiki yangu XX amekuwa akinishawishi nijiunge JF, eti anasema kuna watu wana busara sana, wana hekima sana na michango yao ni hazina kwa JF. Mimi kama memba mpya naomba nitambulishwa kwao ili niweze kupata hizo busara.
Nawasilisha
Ni muda sasa nimekuwa na rafiki yangu XX amekuwa akinishawishi nijiunge JF, eti anasema kuna watu wana busara sana, wana hekima sana na michango yao ni hazina kwa JF. Mimi kama memba mpya naomba nitambulishwa kwao ili niweze kupata hizo busara.
Nawasilisha