FactNa hayo uliyoyasema ndo majukumu hasa ya Rais....ziara za mikoani hapo mara nyingi anatakiwa kuzifanya PM na kwa Rais ni mara moja moja sana
Kwasasa bado sana.....bado hajatembelea mikoa ya nyanda za juu kusini.... akimaliza huku ata anza kampeni nchi nzimaAnatakiwa kwenda mwenyewe sasa muda umefika
Wewe nawe mbona mchokozi hivyo? Ina maana kweli hujui nini kinamsibu kuhusu Lugha?Lugha imefanyaje
Mikutano kama ya UN na mingine duniani ni muhimu sana kwa Rais wetu......Mimi mwenyewe pamoja na kazi yangu lakini nafakiwa kutoka mara moja moja nje ya nchi kwa ajili ya conference nimejifunza mengi sana na yananisaidia kubadili namna ya kufanya kazi kwa kiwango cha juu zaidi.Kwasasa bado sana.....bado hajatembelea mikoa ya nyanda za juu kusini.... akimaliza huku ata anza kampeni nchi nzima
Mjomba ndio hataki sasa......Mikutano kama ya UN na mingine duniani ni muhimu sana kwa Rais wetu......Mimi mwenyewe pamoja na kazi yangu lakini nafakiwa kutoka mara moja moja nje ya nchi kwa ajili ya conference nimejifunza mengi sana na yananisaidia kubadili namna ya kufanya kazi kwa kiwango cha juu zaidi.
Ataenda kueleza jinsi tulivyoibiwa sana.msilaumu huko ataenda kusemaje?