GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Nikianza kumuelezea nadhani sitomaliza hapa ila niseme tu kwamba nahisi kama Member pamoja na Members wengine wa huu Mtandao wetu pendwa na hata Watanzania wengine wenye Kupenda uhuru wa mawazo na habari hatujamtendea haki ' stahili ' Mwanzishaji wa Mtandao huu wa JamiiForums Ndugu Maxence Melo.
Naomba Kuundwe na Kamati ' Maalum ' itakayoratibu zoezi zima na kumuandalia ' Tuzo ' ya Kutukuka kabisa huyu Mpendwa wetu na Ndugu yetu ili mwishowe tuje ' Kumtunuku ' Heshima kubwa ambayo kila akiwa anakaa na akiitizama basi ataona jinsi tunavyomthamini kama ambavyo Yeye anatuthamini, anatupenda na anatulinda sana.
Ni wakati mwafaka sasa wa kumuenzi bila kuchelewa na hiyo ' Tuzo ' isiwe ni ilimradi tu ' Tuzo ' bali iwe kweli ni ' Tuzo ' ambayo pengine hakuna Mtu mwingine yoyote aliyewahi kubahatika kupewa hata nchini Tanzania.
Ombi langu hili likipokelewa na kufanyiwa Kazi nitafarijika mno. Akhsanteni
Nawasilisha.
Naomba Kuundwe na Kamati ' Maalum ' itakayoratibu zoezi zima na kumuandalia ' Tuzo ' ya Kutukuka kabisa huyu Mpendwa wetu na Ndugu yetu ili mwishowe tuje ' Kumtunuku ' Heshima kubwa ambayo kila akiwa anakaa na akiitizama basi ataona jinsi tunavyomthamini kama ambavyo Yeye anatuthamini, anatupenda na anatulinda sana.
Ni wakati mwafaka sasa wa kumuenzi bila kuchelewa na hiyo ' Tuzo ' isiwe ni ilimradi tu ' Tuzo ' bali iwe kweli ni ' Tuzo ' ambayo pengine hakuna Mtu mwingine yoyote aliyewahi kubahatika kupewa hata nchini Tanzania.
Ombi langu hili likipokelewa na kufanyiwa Kazi nitafarijika mno. Akhsanteni
Nawasilisha.