Nadhani mke wangu anamegwa usiku huu...

Nousernameleft

New Member
Sep 2, 2010
3
1
Jamani,

Mwenzenu nilisafiri jana kikazi mbali kiasi cha kutosha na kwangu. Mchana wa leo wife kaniandikia msg anasema kuna mtu ananitafuta, nikamwambia si umwambie sipo nitarudi keshokutwa? Akasema naogopa, na anakuja kulala kwetu. Nitamtandikia sebuleni. Kijumba tulichopanga ni kidogo sana, na hakina nafasi ya kulala wageni. lakini bado mgeni kakaribishwa. Napiga simu usiku wife hapokei simu hadi iite mara tatu. Na si kawaida yake hata kidogo.

Jamani kuna usalama hapo, au NDIO NIMEKUWA BUSHOKE?
 
heheheeh dah, yaani hii sredi nimecheka mbaya sana. wakuu saidieni hii comedian victim
 
Wacha ujinga tunajadili mambo ya maana hapa! Kama humwamini mkeo mtaliki mambo yote yanakuwa FINITO. Usiwe Mwizi tu kama jamaa flani hivi.
 
Jamani,

Mwenzenu nilisafiri jana kikazi mbali kiasi cha kutosha na kwangu. Mchana wa leo wife kaniandikia msg anasema kuna mtu ananitafuta, nikamwambia si umwambie sipo nitarudi keshokutwa? Akasema naogopa, na anakuja kulala kwetu. Nitamtandikia sebuleni. Kijumba tulichopanga ni kidogo sana, na hakina nafasi ya kulala wageni. lakini bado mgeni kakaribishwa. Napiga simu usiku wife hapokei simu hadi iite mara tatu. Na si kawaida yake hata kidogo.

Jamani kuna usalama hapo, au NDIO NIMEKUWA BUSHOKE?

unazungumzia nini vile
 
Blaza hapo imekula kwako. Umeoa kicheche ndugu yangu. Pole sana maana huenda mkeo anam ride jamaa mida hii au analamba koni. Na lawama zote abebe huyo mkeo kicheche kwa kutoa kitumbua chake kwa hiyo njemba. I feel your pain lol
 
Jamani,

Mwenzenu nilisafiri jana kikazi mbali kiasi cha kutosha na kwangu. Mchana wa leo wife kaniandikia msg anasema kuna mtu ananitafuta, nikamwambia si umwambie sipo nitarudi keshokutwa? Akasema naogopa, na anakuja kulala kwetu. Nitamtandikia sebuleni. Kijumba tulichopanga ni kidogo sana, na hakina nafasi ya kulala wageni. lakini bado mgeni kakaribishwa. Napiga simu usiku wife hapokei simu hadi iite mara tatu. Na si kawaida yake hata kidogo.

Jamani kuna usalama hapo, au NDIO NIMEKUWA BUSHOKE?
mh mbona hamuwaamini hivyo!!!
 
mh mbona hamuwaamini hivyo!!!

Hakuna mtu mwenye akili timamu na mwenye chembe za busara atakayeegemea imani yake kwa mkewe au mumewe kwenye mazingira kama hayo. Kwa ufupi huyo mke ana elements za ukicheche.
 
ndugu ukiacha suala la kumwamini mkeo huoni kwamba pamoja na yote unamdhalilisha huyo mwana mama aitwae mkeo? Assume hamegwi which I believe so na wewe unaweka thread kama hizi jamvini tuanze kumjadili mkeo! Lol! Mimi binafsi naona ni kumdharau na kumdhalilisha mkeo na zaidi sana inaonesha jinsi ulivyopungukiwa na adabu! Shabaash!
 
Usijali watakuwa wanamaongezi tu na simu iko kwenye mtetemo kwa hiyo haisikiki. Kama mnywaji kamata bia kadhaa chapa usingizi bila blanketi chapa ntu.
 
Jamani,

Mwenzenu nilisafiri jana kikazi mbali kiasi cha kutosha na kwangu. Mchana wa leo wife kaniandikia msg anasema kuna mtu ananitafuta, nikamwambia si umwambie sipo nitarudi keshokutwa? Akasema naogopa, na anakuja kulala kwetu. Nitamtandikia sebuleni. Kijumba tulichopanga ni kidogo sana, na hakina nafasi ya kulala wageni. lakini bado mgeni kakaribishwa. Napiga simu usiku wife hapokei simu hadi iite mara tatu. Na si kawaida yake hata kidogo.

Jamani kuna usalama hapo, au NDIO NIMEKUWA BUSHOKE?

...wewe endelea na shughuli zako, hata akimega hawezi kuinyofoa akaondoka nayo.
Unajitisha bure tu. Usiku mwema.
 
Pole,dont go looking for shit,let shit find you,
akimegwa poa tu,usipanik ukirudi mpe pole.mke anaweza kumegwa ukiwa upo home bila wewe kujua,so tuliza moyo na akili endelea na plan zako.
 
jamani acheni kutoa maushauri msiyokuwa na uhakika nayo,mna ushahidi kuwa huyu dada anamegwa,msivunje ndoa za watu ambazo hamjui zimejengwa kwa gharama gani
 
...wewe endelea na shughuli zako, hata akimega hawezi kuinyofoa akaondoka nayo.
Unajitisha bure tu. Usiku mwema.

I wonder what the world would be like if we all had such off-the-wall attitude(s) like this. Heheheheeee
 
Back
Top Bottom