Nadhani kunaitajika jicho la tatu kwenye makampuni yaliyoko Soko La Hisa (Na hisi kuna udanganyifu sana)

ruukada

Member
Feb 24, 2014
67
117
Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa.

Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha kuanzia kupanda kwa Hisa zake pamoja na ugawaji wa dividends kwa wamiliki wa Hisa. Sisemi hazishukagi lakini ata zikishuka zinakuwaga na maelezo yanayoeleweka.

Wengine huwelewi ata kwa nini walikusanya hela (IPO) kutoka kwa watu kwa ajili ya kuongea mtaji hela.

Bila kutaja kampuni, inakuwaje kampuni ina offer IPO shilingi 500 alafu miaka inaenda kama 4 ama 5 share zake hazijapanda ata kidogo na badala yake zinakuwa chini ata ya IPO shillingi 400 ( huu ni mfano tuu), Na ukiangalia kampuni yenyewe haina viashiria vyovyote vinavyoonyesha kupata hasara ama kutokupanuka kwa wigo wa njia za kupata faida. na matumizi yake ya ndani ya kiendelea kuwa makubwa ( mishahara, kununua magari mapya ya oparation, kutumia hela nyingi kwenye matangazo).

Je! ili ni sawa kwa share kutokupanda ama kuna kitu kingine wanaficha , maanake wamiliki wa Hisa wakisema wauze Hisa zao sasa inaamaanisha kampuni itakuwa imetengeza shilingi 100 ya bure kwa kila Hisa ( ni mfano tuu - Je sio huwizi??)0.

Chombo gani kianagalia ama kufuatilia muenendo wa makampuni yaliyoko kwenye Soko la Hisa ili kujibu maswali yafuatayo ( Je kwanini Hisa hazipandi, ? Je, kwanini hamna dividends? Je, kiasi kinachotolewa ni sahihi?)
 
Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa.

Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha kuanzia kupanda kwa Hisa zake pamoja na ugawaji wa dividends kwa wamiliki wa Hisa. Sisemi hazishukagi lakini ata zikishuka zinakuwaga na maelezo yanayoeleweka.,
Wengine huwelewi ata kwa nini walikusanya hela (IPO) kutoka kwa watu kwa ajili ya kuongea mtaji hela.

Bila kutaja kampuni, inakuwaje kampuni ina offer IPO shilingi 500 alafu miaka inaenda kama 4 ama 5 share zake hazijapanda ata kidogo na badala yake zinakuwa chini ata ya IPO shillingi 400 ( huu ni mfano tuu), Na ukiangalia kampuni yenyewe haina viashiria vyovyote vinavyoonyesha kupata hasara ama kutokupanuka kwa wigo wa njia za kupata faida. na matumizi yake ya ndani ya kiendelea kuwa makubwa ( mishahara, kununua magari mapya ya oparation, kutumia hela nyingi kwenye matangazo).

Je! ili ni sawa kwa share kutokupanda ama kuna kitu kingine wanaficha , maanake wamiliki wa Hisa wakisema wauze Hisa zao sasa inaamaanisha kampuni itakuwa imetengeza shilingi 100 ya bure kwa kila Hisa ( ni mfano tuu - Je sio huwizi??) .
Chombo gani kianagalia ama kufuatilia muenendo wa makampuni yaliyoko kwenye Soko la Hisa ili kujibu maswali yafuatayo ( Je kwanini Hisa hazipandi, ? Je, kwanini hamna dividends? Je, kiasi kinachotolewa ni sahihi?)
Bora hata wewe umeona.

Mimi huwa nashangaa sana nnapoona mtu ananunua hisa za kibongo.
 
Dah Tz uhun tu akati hisa ni kitu muhimu sana kwenye kukuza uchumi wa nchi na wealth kwa vijan weng
 
kwa nchi zilizoendelea hisa zinanyanyua watu wake kiuchumi ila bongo ni kinyume.
 
Siyo kwamba hazipandi bali kuna mambo yanafichwafichwa ili wawe na faida kubwa ya kujiendesha...
 
Mpaka ujue nia ya soko la hisa ni nini?
Soko la hisa ama kwa jina lingine twaita soko la mitaji.
Kampuni kabla ya kujiunga hufanyiwa due dilligence na cmsa ambao ndio wafuatiliaji wakuu wa makampuni yanayotrade katika soko la hisa.
Kampuni ikiuza hisa katika soko ambapo ndio ipo ndio mtaji wake let say bilioni 1.
Yenyewe itaendelea kuzalisha hiyo bilioni moja kwa kuiongezea katika mtaji wake.

Nyie wachuuzi kama wewe ambao mnanunua na kuuza ndio presha zenu na mioyo yenu inapanda na kushuka kwa kutarajia kupanda kwa hisa.
Katika soko la wachuuzi mnaobadilishana hisa ni nyie wachuuzi unauza hisa 100 kwa sh 300 kila moja=30,000
Anatokea chopeko anataka kununua hisa za the great hizo unazouza atatakiwa alipie 30,000 tzs na commision ya dalali ni kama 2% ama zaidi.
Na anayeuza atakatwa ada ya dalali na kodi. Na anaweza pata 29,200.
Kkwa hiyo ndugu kama unataka kufa kabla ya kuzeeka angalia hisa zako tu zikipanda utafurahi na zikishuka thamani wanakukimbiza hospitali.(hii inahitaji muda mwingi kukuelewesha namna ya kuwekeza katika soko la hisa kwa kuangalia p/e n. K)

Kuhusu perfomance ya makampuni katika soko la hisa.

Sijajua umri wako ni upi either mtu mzima miaka 50 na zaidi, kijana below 50-30, n. K
Tuachane na hiyo nageneralise jibu.
 
Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa.

Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha kuanzia kupanda kwa Hisa zake pamoja na ugawaji wa dividends kwa wamiliki wa Hisa. Sisemi hazishukagi lakini ata zikishuka zinakuwaga na maelezo yanayoeleweka.

Wengine huwelewi ata kwa nini walikusanya hela (IPO) kutoka kwa watu kwa ajili ya kuongea mtaji hela.

Bila kutaja kampuni, inakuwaje kampuni ina offer IPO shilingi 500 alafu miaka inaenda kama 4 ama 5 share zake hazijapanda ata kidogo na badala yake zinakuwa chini ata ya IPO shillingi 400 ( huu ni mfano tuu), Na ukiangalia kampuni yenyewe haina viashiria vyovyote vinavyoonyesha kupata hasara ama kutokupanuka kwa wigo wa njia za kupata faida. na matumizi yake ya ndani ya kiendelea kuwa makubwa ( mishahara, kununua magari mapya ya oparation, kutumia hela nyingi kwenye matangazo).

Je! ili ni sawa kwa share kutokupanda ama kuna kitu kingine wanaficha , maanake wamiliki wa Hisa wakisema wauze Hisa zao sasa inaamaanisha kampuni itakuwa imetengeza shilingi 100 ya bure kwa kila Hisa ( ni mfano tuu - Je sio huwizi??)0.

Chombo gani kianagalia ama kufuatilia muenendo wa makampuni yaliyoko kwenye Soko la Hisa ili kujibu maswali yafuatayo ( Je kwanini Hisa hazipandi, ? Je, kwanini hamna dividends? Je, kiasi kinachotolewa ni sahihi?)
Home |Capital Market and Securities Authority ndiye mdhibiti wa masoko ya mitaji kukujibu hapo nilipokoleza wino.
 
Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa.

Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha kuanzia kupanda kwa Hisa zake pamoja na ugawaji wa dividends kwa wamiliki wa Hisa. Sisemi hazishukagi lakini ata zikishuka zinakuwaga na maelezo yanayoeleweka.

Wengine huwelewi ata kwa nini walikusanya hela (IPO) kutoka kwa watu kwa ajili ya kuongea mtaji hela.

Bila kutaja kampuni, inakuwaje kampuni ina offer IPO shilingi 500 alafu miaka inaenda kama 4 ama 5 share zake hazijapanda ata kidogo na badala yake zinakuwa chini ata ya IPO shillingi 400 ( huu ni mfano tuu), Na ukiangalia kampuni yenyewe haina viashiria vyovyote vinavyoonyesha kupata hasara ama kutokupanuka kwa wigo wa njia za kupata faida. na matumizi yake ya ndani ya kiendelea kuwa makubwa ( mishahara, kununua magari mapya ya oparation, kutumia hela nyingi kwenye matangazo).

Je! ili ni sawa kwa share kutokupanda ama kuna kitu kingine wanaficha , maanake wamiliki wa Hisa wakisema wauze Hisa zao sasa inaamaanisha kampuni itakuwa imetengeza shilingi 100 ya bure kwa kila Hisa ( ni mfano tuu - Je sio huwizi??)0.

Chombo gani kianagalia ama kufuatilia muenendo wa makampuni yaliyoko kwenye Soko la Hisa ili kujibu maswali yafuatayo ( Je kwanini Hisa hazipandi, ? Je, kwanini hamna dividends? Je, kiasi kinachotolewa ni sahihi?)

1. Kwa burudani tu, tafuta kwenye mtandao kilichojiri/kinachojiri kuhusu "Gamestop Short Squeeze". Tumia "search engine" zaidi ya moja.

2. Soma kitabu kiitwacho
 
Kuwekeza kwenye hisa za kibongo ni kijitakia stress tu, jifunze makampuni ya ulaya huko uwekeze!
 
Back
Top Bottom