Nadhani hiki ni kipaji

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,104
53,341
13615084_518064795045208_5053005890416421899_n.jpg


13590258_518064798378541_5382597559845271456_n.jpg


13592840_518065295045158_4017289195196971637_n.jpg


13619856_518065298378491_3673733096811075468_n.jpg
 
Kuna majitu sehem fulani yaalikuwa yanabeza sana wakati mwenzetu kaonyesha kipaji chake tumpongeze tumpe suport
 
Me nadhani hii ni fulsa kwa serikali wakati inaendelea na program ya UCHUMI WA VIWANDA kuwaangalia kwa jicho la pili vijana kama hawa.
 
Kaunganisha vifaa tu . kutengeneza gari c kitoto.. Alaf tz tunapenda kukuza mambo.. Sasa hapo kuna gari ya kifahar?? Au waandish hawajui gar za kifahar?? Kwa bati za hilo gari usiombe akakipiga pasi kiji TOYOTA IST chako, lazima kibaki na matobo kama chujio la nazi. .

Turud kwenye point: hata kama ameunganisha hayo mabati na vifaa pia amejitajid maana hiyo kazi c ndogo.. Kuna vipimo vingi sana amefanya... Sasa je atapewa usajili/plate number au ndo anaishia kusifiwa tu. ? Cjui serikal ina mpango gan na hiki kipaji??? Pia ametufumbua macho kua serikali au wawekezaji wanaweza wakawa wananunua baadh ya vifaa na kuassemble/design magar hapa hapa nchini kwa bei nafuu....
 
Kaunganisha vifaa tu . kutengeneza gari c kitoto.. Alaf tz tunapenda kukuza mambo.. Sasa hapo kuna gari ya kifahar?? Au waandish hawajui gar za kifahar?? Kwa bati za hilo gari usiombe akakipiga pasi kiji TOYOTA IST chako, lazima kibaki na matobo kama chujio la nazi. .

Turud kwenye point: hata kama ameunganisha hayo mabati na vifaa pia amejitajid maana hiyo kazi c ndogo.. Kuna vipimo vingi sana amefanya... Sasa je atapewa usajili/plate number au ndo anaishia kusifiwa tu. ? Cjui serikal ina mpango gan na hiki kipaji??? Pia ametufumbua macho kua serikali au wawekezaji wanaweza wakawa wananunua baadh ya vifaa na kuassemble/design magar hapa hapa nchini kwa bei nafuu....

Asilimia kubwa sana ya makampuni yanaunganisha vifaa.

60% ya magari mengi ya BMW wananunua vifaa na teknolojia nyingine toka makampuni mengine.

Marcedes Benzi ni moja ya makampuni ambayo 90% ya vifaa vyake wanatengeneza wenyewe. Ndio maana gari zao ni expensive sana.

Kwahiyo hata huyu jamaa kuunganisha vifaa sio kazi ndogo. Ni utaalamu pia.
 
Asilimia kubwa sana ya makampuni yanaunganisha vifaa.

60% ya magari mengi ya BMW wananunua vifaa na teknolojia nyingine toka makampuni mengine.

Marcedes Benzi ni moja ya makampuni ambayo 90% ya vifaa vyake wanatengeneza wenyewe. Ndio maana gari zao ni expensive sana.

Kwahiyo hata huyu jamaa kuunganisha vifaa sio kazi ndogo. Ni utaalamu pia.
Cha kujifunza hapa ni kwamba huyu hana taaluma ya Uhandisi wa darasani, tuna wahandisi wangapi nchini wenye weledi wao lakini wameshindwa kuunga unga vifaa vya namna hii??

Kuna magereji mangapi makubwa nchini yameshindwa kuunga unga vifaa??

Wanaojiita wasomi ndiyo wanaishia kukosoa kuwa kaunga unga!! Wao na elimu zao wamebaki kulalama Magufuli anawabania!!

Apewe pongezi zake tuu
 
naombeni tofauti kati ya haya maneno ya kiingereza .
1.Innovation.
2.Creativity.
3.Talent.

Kisha tumgroupa huyo Jamaa
 
Serikali badala ya kuwaendeleza watu kama hawa...wao wako busy kuwaongezea kodi...na kupeleka watu nahakamani kwa kuita uchwara
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom