maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Hoja yangu ni hii kweli corona ipo na Rais amesema na amekiri.
Lakini kusema sisi ni nchi hatari si kweli maana hakuna anaweza kuficha vifo vya watu wote, tupo hapa tunatembea na tuna ndugu zetu na marafiki zetu lakini tatizo siyo kubwa kiasi hicho.
Pili gonjwa hili ni hatari kweli lakini kwa wenzetu wazungu ina maslahi mapana sana nyuma yake anayepambana kivyake anashambuliwa sana kuwa hafuati ushauri wa madaktari wa dunia. badala ya kushukuru huenda dawa itapatikana wanafanya mashambulizi kukatisha tamaa. Hapo ndipo mashaka yanapoanza
Tatu chanjo hii inalazimishwa sana kwa watu kwa sababu gani hasa afrika tangu wanzo lakini afrika kutumika kama gunia la mazoezi inajulikana kwa nini hatushtuki? Magu kwa hili nampongeza sana ingawa kuna baadhi ya move zake siikubali.
Nne baada ya kupewa chanjo unapewa elecronic certificate kwa sababu gani? Lazima mtu mwenye akili timamu ujiulize maswali mengi sana.
Mwisho ushauri wangu ni huu, tatizo hili kwa Tanzania siyo kubwa kwa kiwango cha kutangazwa kuwa nchi hatari kwa kuwa vifo havifichiki ndugu zangu kila moja angekiri kweli kuna tatizo.
Lakini mimi nataka kusema hivi tunatakiwa kukataa chanjo zote na wala siyo ya corona tu maana huwezzi kusema ndizi ya huyu bwana huyu sili kwa sababu ina sumu lakini akakupa wali wa mtu yule yule ukala umeepuka nini hapo? Hakuna.
Chanjo ya surua, pepopunda, nakadhalika ipigwe marufuku pia mimi naweza sema hizo chanjo ni moja ya watoto wetu kuwa na uwezo mdogo sana katika sayansi na hesabu huku ashuleni hali ni mbaya sana
Ni maoni yangu ruksa kukosolewa kwa lugha zote
Lakini kusema sisi ni nchi hatari si kweli maana hakuna anaweza kuficha vifo vya watu wote, tupo hapa tunatembea na tuna ndugu zetu na marafiki zetu lakini tatizo siyo kubwa kiasi hicho.
Pili gonjwa hili ni hatari kweli lakini kwa wenzetu wazungu ina maslahi mapana sana nyuma yake anayepambana kivyake anashambuliwa sana kuwa hafuati ushauri wa madaktari wa dunia. badala ya kushukuru huenda dawa itapatikana wanafanya mashambulizi kukatisha tamaa. Hapo ndipo mashaka yanapoanza
Tatu chanjo hii inalazimishwa sana kwa watu kwa sababu gani hasa afrika tangu wanzo lakini afrika kutumika kama gunia la mazoezi inajulikana kwa nini hatushtuki? Magu kwa hili nampongeza sana ingawa kuna baadhi ya move zake siikubali.
Nne baada ya kupewa chanjo unapewa elecronic certificate kwa sababu gani? Lazima mtu mwenye akili timamu ujiulize maswali mengi sana.
Mwisho ushauri wangu ni huu, tatizo hili kwa Tanzania siyo kubwa kwa kiwango cha kutangazwa kuwa nchi hatari kwa kuwa vifo havifichiki ndugu zangu kila moja angekiri kweli kuna tatizo.
Lakini mimi nataka kusema hivi tunatakiwa kukataa chanjo zote na wala siyo ya corona tu maana huwezzi kusema ndizi ya huyu bwana huyu sili kwa sababu ina sumu lakini akakupa wali wa mtu yule yule ukala umeepuka nini hapo? Hakuna.
Chanjo ya surua, pepopunda, nakadhalika ipigwe marufuku pia mimi naweza sema hizo chanjo ni moja ya watoto wetu kuwa na uwezo mdogo sana katika sayansi na hesabu huku ashuleni hali ni mbaya sana
Ni maoni yangu ruksa kukosolewa kwa lugha zote