Nadhan hili la korosho limetupa funzo kubwa mno sidhan kama litajirudia tena

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Aug 19, 2017
2,826
2,411
"Tunaomba mje kununua korosho, zipo za kutosha.ili kupata utaratibu wa namna ya kuzinunua, tunaomba mtembelee ofisi za wizara ili kupewa utaratibu mzuri " Naibu waziri wa viwanda Dr Edwin Muhende akiwakaribisha wafanyabiashara kutoka India kuja kununua korosho nchini.


LANGU;
1. Naibu waziri angeacha wanunuzi waende kununua korosho bila kuanza kupewa tena milolongo mingine wakati hiyo ndo ilituchelewesha katika zao hili mana kiufupi tusilifumbie tulichemka pale mwanzoni ko tuache liende.

2. Nadhan kupitia zao hili limetufunza kuwa kumbe kangomba au mtu kati katika biashara yoyote ile hakwepeki kivyovyote vile ko hili tulipeleke katika mbaazi mahindi na mazao mengine serikali ijitahid kusimamia bei ya mkulima nae apate lakin sio kuingia katika biashara. .


"Maendeleo hayana chama" -copied from johnthebaptist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tunaomba mje kununua korosho, zipo za kutosha.ili kupata utaratibu wa namna ya kuzinunua, tunaomba mtembelee ofisi za wizara ili kupewa utaratibu mzuri " Naibu waziri wa viwanda Dr Edwin Muhende akiwakaribisha wafanyabiashara kutoka India kuja kununua korosho nchini.


LANGU;
1. Naibu waziri angeacha wanunuzi waende kununua korosho bila kuanza kupewa tena milolongo mingine wakati hiyo ndo ilituchelewesha katika zao hili mana kiufupi tusilifumbie tulichemka pale mwanzoni ko tuache liende.

2. Nadhan kupitia zao hili limetufunza kuwa kumbe kangomba au mtu kati katika biashara yoyote ile hakwepeki kivyovyote vile ko hili tulipeleke katika mbaazi mahindi na mazao mengine serikali ijitahid kusimamia bei ya mkulima nae apate lakin sio kuingia katika biashara. .


"Maendeleo hayana chama" -copied from johnthebaptist

Sent using Jamii Forums mobile app

Hilo ni moja lakini yako mengi ya hivyo. Ukweli ulio wazi, rais wetu anamudu zaidi upande wa ujenzi wa miundo mbinu tu. Kwenye uchumi, demokrasia nk ni maeneo aliyoshindwa kabisa. Kama ni mafanikio basi ni 20% tu. Anaamini kuwa rais anaweza kuingilia kila jambo hata yale asiyo na uwezo nayo. Kwa sasa uchumi uko vibaya ila alichofanikiwa ni kunyamazisha vyombo vya habari visitangaze mapungufu na hayo machache yatangazwe kama ndio nchi imepiga hatua na kusiwepo kuhoji.
 
Ni nuksi kubwa sana huyu nchini kwetu na laana ya Mwenyezi Mungu inamtafuna kwa maovu yake mengi aliyowafanyia Watanzania mbali mbali ikiwemo kuwafukuza kazi kwa uonevu, kuwadhulumu haki yao, kuwateka, kuwatesa na hata kuwaua, kuwabambikia kesi bila kusahau bomoa bomoa.

Kichaa kaumbuka, yaani kawageuza wanajeshi kama midori na wanampigia makofi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlijifanya mnadharau....
Hivi Nyie wale wanunuzi toka India na Vietnam waliyokuwa wanakujaga nunua koroshow mlifikiri walikuwa wanakuja tu .....kulikuwa na connection na wafanyabiashara wa ndani .....
Na kwa taarifa yako wanunuzi wengi wako msumbiji na afrika magharibi
Nyie Inabidi muelewe biashara haitaki maguvu na mikwala
Biashara inahitaji akili,acha tule wenyewe hzi koroshw
Ila wakulima mshawapotezea timing na zao hilo mshalitia gundu....morali haipo tena

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Korosho za mwaka wa jana hazina soko kwenye soko la dunia. Mimi nilimshangaa magufuli aliposema kwamba "wataziweka hata miaka mitano". Wanunuzi wa korosho sasa hivi wako west africa kwenye korosho mpya.
 
Korosho za mwaka wa jana hazina soko kwenye soko la dunia. Mimi nilimshangaa magufuli aliposema kwamba "wataziweka hata miaka mitano". Wanunuzi wa korosho sasa hivi wako west africa kwenye korosho mpya.
Sisi tutapiga nazo picha koroshw zetu
Biashara zina wenyewe nlivyoona wajeda wanapelekwa hko nkasema ayaaa maumivu yaja

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ni moja lakini yako mengi ya hivyo. Ukweli ulio wazi, rais wetu anamudu zaidi upande wa ujenzi wa miundo mbinu tu. Kwenye uchumi, demokrasia nk ni maeneo aliyoshindwa kabisa. Kama ni mafanikio basi ni 20% tu. Anaamini kuwa rais anaweza kuingilia kila jambo hata yale asiyo na uwezo nayo. Kwa sasa uchumi uko vibaya ila alichofanikiwa ni kunyamazisha vyombo vya habari visitangaze mapungufu na hayo machache yatangazwe kama ndio nchi imepiga hatua na kusiwepo kuhoji.
Sure 100%
 
Wafanyabiashara hela ni zao na ukiwazingua anaenda kununua magari Japan na kuyapeleka Dubai na mzunguko wa hela zake unaendelea
We unazuia korosho zikioza hasara
Sasa unamuita tena hapo ndio anapanga bei anayotaka halafu mnarudi kule kule

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Wafanyabiashara hela ni zao na ukiwazingua anaenda kununua magari Japan na kuyapeleka Dubai na mzunguko wa hela zake unaendelea
We unazuia korosho zikioza hasara
Sasa unamuita tena hapo ndio anapanga bei anayotaka halafu mnarudi kule kule

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Wajeda waliwatish mfanyabiashara anataka utulivu.....

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tunaomba mje kununua korosho, zipo za kutosha.ili kupata utaratibu wa namna ya kuzinunua, tunaomba mtembelee ofisi za wizara ili kupewa utaratibu mzuri " Naibu waziri wa viwanda Dr Edwin Muhende akiwakaribisha wafanyabiashara kutoka India kuja kununua korosho nchini.


LANGU;
1. Naibu waziri angeacha wanunuzi waende kununua korosho bila kuanza kupewa tena milolongo mingine wakati hiyo ndo ilituchelewesha katika zao hili mana kiufupi tusilifumbie tulichemka pale mwanzoni ko tuache liende.

2. Nadhan kupitia zao hili limetufunza kuwa kumbe kangomba au mtu kati katika biashara yoyote ile hakwepeki kivyovyote vile ko hili tulipeleke katika mbaazi mahindi na mazao mengine serikali ijitahid kusimamia bei ya mkulima nae apate lakin sio kuingia katika biashara. .


"Maendeleo hayana chama" -copied from johnthebaptist

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua maana ya serikali zilizoshindwa ?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom