Siku nyingine ujitahidi kuvumilia hadi ukiwa na taarifa kamali ndio u post humu.
Source ya habar yako????Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi ( NACTE ) limevifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali.
Sijaipata list kamili ya vyuo vilivyofungiwa, punde nikiipata nitaiweka hapa. Kikubwa tuwe makini maana sasa hivi ni rungu tuu
Nitawahiwa, vumilia tuu nitakuwekea orodhaSiku nyingine ujitahidi kuvumilia hadi ukiwa na taarifa kamali ndio u post humu.
hahahahh, unamchokoza mtani wangu Joseverest hahahahahahahahaNitawahiwa, vumilia tuu nitakuwekea orodha
Ebu tusaidie kujua lini itafanyika selection ya form five kwa form waliomaliza 2017?Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi ( NACTE ) limevifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali.
Sijaipata list kamili ya vyuo vilivyofungiwa, punde nikiipata nitaiweka hapa. Kikubwa tuwe makini maana sasa hivi ni rungu tuu
Hiyo sio kazi ya NACTE mkuu, chukua muda wako kutembelea tovuti ya NECTA na TAMISEMI utapata majibu pindi hizo chaguzi zitokapo.Ebu tusaidie kujua lini itafanyika selection ya form five kwa form waliomaliza 2017?
Tayari mkuu, kaangalie tenaSiku nyingine ujitahidi kuvumilia hadi ukiwa na taarifa kamali ndio u post humu.
Ahsante.Tayari mkuu, kaangalie tena
Wawe na subira tuu. Mambo yakiiva nitawajuzaAhsante.
Nje ya Mada hivi huna tetesi kuwa vijana wa form five watapangiwa lini shule za kwenda?
Macho yake yanashindwa kutofautisha NACTE na NECTAHiyo sio kazi ya NACTE mkuu, chukua muda wako kutembelea tovuti ya NECTA na TAMISEMI utapata majibu pindi hizo chaguzi zitokapo.
Nitawahiwa, vumilia tuu nitakuwekea orodha
Toka lini NECTA wakajihusisha na chaguzi za F5?Hiyo sio kazi ya NACTE mkuu, chukua muda wako kutembelea tovuti ya NECTA na TAMISEMI utapata majibu pindi hizo chaguzi zitokapo.
Kuna utofauti kati ya chaguzi,na kupitia kwenye tovuti. Haimaanishi lazma wao wachague,ndio maana nikaiweka TAMISEMI kwa lugha nyepesi huwa wanashirikiana.Toka lini NECTA wakajihusisha na chaguzi za F5?