COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Nenda website yao kila kitu wameweka. Fungua CASVp walionaliza six mwaka huu wamesharuhusiwa kuanza kuomba? Vp kuhusu guide ya vyuo vya ualimu inapatikana?
Nenda website yao kila kitu wameweka. Fungua CASVp walionaliza six mwaka huu wamesharuhusiwa kuanza kuomba? Vp kuhusu guide ya vyuo vya ualimu inapatikana?
Kwaiyo went 4 ya 26 awajachaguliwa!!?Naona waliopata ni kuanzia division 3 tu
VP wenye 4 ya 24? Watakuwa ndo wameachwa kabsa?
24 ni three inawezekana akawa kachaguliwa,na kwa huyo wa iv ya 26 hajachaguliwa coz wamechaguliwa wale walopat 3Kwaiyo went 4 ya 26 awajachaguliwa!!?
Tatizo lako wewe ni mzururaji ndo maana ukachelewa kuapply.Refer your ID.jamani kwan hawaruhusu Tena kuomba kwa ambao tulichelewa kuomba
Mkuu usichoke kusubiri Coz wao wenyewe wameligusia hilo:-Dah yani mkuu mimi nilisha apply na kwenye profile wameandika system is running for selection sjui nin waiting na blah blah nyingi ....dah! apa presha inapanda na kushukaa. Nilienda nacte wakasema kama ulisha lipia watacheki kama una vigezo vyao then unakuwa directed moja kwa moja tcu ..ila kama vgezo hujafikia basi wanacheki kama watakurudishia pesa yako
Tatizo lako wewe ni mzururaji ndo maana ukachelewa kuapply.Refer your ID.
Ingia NACTE then kwenye application selection andika namba yako ya form four au username yakoJamani msaada wakuu naamgaliaje kwa waliochaguliwa faculity ya ualimu
Ndio maana yake iko open ww tembelea tu website yaowamefungua tena maombi?
application inaendlea kam kawawida kwa level hiyo y certificate na diploma kwa courses zote na deadline ni tar05.august,
kweli wameshatoa mkuu
Tatizo lako wewe ni mzururaji ndo maana ukachelewa kuapply.Refer your ID.
Nani amexaona aya matokeo na amechaguliwa wapi!?
MKUU wanachoangalia ni qualification and not division it means that kama unaalama wanazozitaka unachaguliwa.mbona hata wenye 4 wamechaguliwa ilimradi uwe na ufaulu wa D nne...
pale si wameorodhesha sifa za ku appy coz husika kijansJamani nisaidieni kwaiyo application za certificate na diploma bado zinaendelea na mtu mwenyewe CCCDFFF kwa form 4 afu DSF kwa form 6 anaweza kuchaguliwa kusoma diploma ya uwalimu