Ni mateso matupu kwa wanafunzi na wazazi mpaka sasa mwanafunzi hajui kama aanze safari kutoka kwao kuja chuoni wakati vyuo vinafunguliwa jtatu 16/11/2020.
Mwanafunzi hawezi kutoka say Sumbawanga kuja Mwanza chuoni wakati hajapata matokeo yake ya mtihani kujua kama anaingia mwaka unaofuata au ana supp!
CEO wa NACTE unafail wapi? Unafanya nini ofisini?
Mwanafunzi hawezi kutoka say Sumbawanga kuja Mwanza chuoni wakati hajapata matokeo yake ya mtihani kujua kama anaingia mwaka unaofuata au ana supp!
CEO wa NACTE unafail wapi? Unafanya nini ofisini?