R Retired JF-Expert Member Jul 22, 2016 40,386 73,978 Nov 10, 2020 #1 Vyuo vinafunguliwa 16.11.2020, bado mwanachuo hajui fate take kama aje chuoni au ana supplementary na hivyo kutakiwa kubaki nyumbani. Nadhani mamlaka zinaona usumbufu/inconvenience mnazozisabanisha Kwa watoto na wazazi.
Vyuo vinafunguliwa 16.11.2020, bado mwanachuo hajui fate take kama aje chuoni au ana supplementary na hivyo kutakiwa kubaki nyumbani. Nadhani mamlaka zinaona usumbufu/inconvenience mnazozisabanisha Kwa watoto na wazazi.
T Team JPM JF-Expert Member Nov 11, 2018 1,074 1,608 Nov 10, 2020 #2 Kwani kama ana sup si ataikuta huko huko chuo au sup atafanyia nyumbani?
H hepache72 JF-Expert Member Oct 2, 2020 313 259 Nov 10, 2020 #3 Acha tu , sijui nnini kimetokea? Sijui watu walizama kwenye uchaguzi wakasahau majukumu yao.
H hepache72 JF-Expert Member Oct 2, 2020 313 259 Nov 11, 2020 #5 Mad Max said: Kada gani? Click to expand... Hata Diploma hawajapata majibu. Clinical medicine pia bado.
Mad Max said: Kada gani? Click to expand... Hata Diploma hawajapata majibu. Clinical medicine pia bado.
A AFANDE POA POA Member Oct 12, 2015 74 67 Nov 11, 2020 #6 Vijana mtulie na kuache vihere here matokeo NACTE ndio ina mamlaka ya kutangaza rasmi kwa iyo wanajua wanachokifanya.
Vijana mtulie na kuache vihere here matokeo NACTE ndio ina mamlaka ya kutangaza rasmi kwa iyo wanajua wanachokifanya.