Nacte saidieni binti zetu kwenye vyuo vyenu vya kati bado wadogo

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,269
21,425
Baada ya kukaa jilani na hivi vyuo vya nacte, vya kati hususani hivi vya afya vinavyo toa kozi za nursing famasi clinical nk, wanafu zi wanao jiunga na hivi vyuo ni wale walio maliza f4 na kupata angalau D4 kwa masomo husika wengi wao ni wasichana japo na wavulana wapo umri wao ni kati ya miaka 16 hadi 20 ambao bado (ni foolish age) hivi vyuo viko chini ya nacte ambao wenyewe wana wa treat hao watoto kama watu wazima na wana jifanyia maamuzi kuhusu uhamisho kutoka chuo moja kuenda kingine. kuhusu ni dhamu hawafatiliwi wa kiwa vyuoni wana uhuru wakuhudhuria au kutoudhuria masomo na wamikiki wa vyuo mda wao ni kufuatilia ulipaji wa ada yao tu mengine wanaachia nacte na wizara hao wanafunzi wana chukuliwa kama undergraduates wa vyuo vikuu (universities) wakati sio sahihi bado wana hitaji miongozo kwenye maisha.

Ni nacho shuhudia ni hiki hapa hao watoto wengi wana toka mikoani na wengine pembeni pembeni mwa jiji au majiji hawajazoea uhuru ulio pitiliza wana limbukeni, na ushamba, wengi ni watoto wa wakulima au watumishi wenye kipato cha kawaida. Wa kiripoti vyuoni huingia hostel na baada ya mwezi kuhama hostel na kuanzisha magheto, bila hata wazazi wao kujua, na wazazi wengi wa Tanzania sio wa fuatiliaji wa elimu ya wanao,

Wasichana wengi wame olewa na bodaboda wengine na vijana wa mitaani wengine wenyewe kwa wenyewe, mtoto kumaliza bila mimba ni nadra sana, kwanza, na nacte haina sheria za kuwazuia au kuwalinda kama wale wa secondary au wa vyuo vya ualimu, kesi mitaani za kuchukuliwa na waumme wa watu ni nyingi sana na hivyo vitoto, kinacho uma zaidi wengi hawana elimu ya magonjwa ya ngono kama ukimwi nk,

Matokeo ya hayo yote ni wengi wana disco baada ya kufaili mtihani wa wizara ya afya jiulize kwanini zaidi ya robo tatu ya wanafunzi wa vyuo vya afya hufaili? kwa mufuano hapa chuo jilani kwa wanafunzi 280 walio fanya mtihani wa taifa wa wizara ya afya ni wanafunzi 23 tu ndo wamefauli bila retake au disco wengi wamerudia wengine ndo basi.

NACTE badilikeni msiwe mnapenda pesa tu za hao wanafunzi za application na registration wekeni regulation kutunza discipline nidhamu kwa hao wanafunzi bado ni wa dogo(16- 20yrs) ni vulnerable kua manipulated na wanaumme wamitaani pamoja na tutors wao.
 
Nidhamu mbovu/tabia mbaya ndio chanzo cha yote haya naamini kama wamelelewa vizuri na wakafata mafunzo hayo majanga hayawakuti

Lakini wakiendekeza uhuni, starehe na anasa mambo ya ellimu wasahau
 
Malezi ya mtoto huanzia nyumbani, hao mabinti naamini wanajua vizuri mimba/ magonjwa ya zinaa watayapata wakifanya nini na bila kutumia nini, unaposema NACTE wasaidie kuwalinda unataka hao NACTE wawaajirie ma bodyguard watembee nao 24 hrs?
 
Nidhamu mbovu/tania mbaya ndio chanzo cha yote haya naamini kama wamelelewa vizuri na wakafata mafunzo hayo majanga hayawakuti

Lakini wakiendekeza uhuni, starehe na anasa mambo ya ellimu wasahau
Ila mkuu hao watoto bado wadogo japo mili yao inavutia lakini mentally wanahitaji muongonza wakutoka kwa regulatory body nacte mtoto wa miaka 16, unategemea ajiongoze kweli?
 
Ila mkuu hao watoto bado wadogo japo mili yao inavutia lakini mentally wanahitaji muongonza wakutoka kwa regulatory body nacte mtoto wa miaka 16, unategemea ajiongoze kweli?
Japo kuwasimamia madogo kama hao ni kazi sana
 
Japo kuwasimamia madogo kama hao ni kazi sana
Mbona sekondari wanasimamiwa na wanafanya vizuri, nenda vyuo vinavyosimamiwa na mashirika ya dini uone maadiri yalivyo hauwez kuta upuuzi kama huo.Serikali ifanye kazi yake kulinda na kujenga taifa la kesho
 
Baada ya kukaa jilani na hivi vyuo vya nacte, vya kati hususani hivi vya afya vinavyo toa kozi za nursing famasi clinical nk, wanafu zi wanao jiunga na hivi vyuo ni wale walio maliza f4 na kupata angalau D4 kwa masomo husika wengi wao ni wasichana japo na wavulana wapo umri wao ni kati ya miaka 16 hadi 20 ambao bado (ni foolish age) hivi vyuo viko chini ya nacte ambao wenyewe wana wa treat hao watoto kama watu wazima na wana jifanyia maamuzi kuhusu uhamisho kutoka chuo moja kuenda kingine. kuhusu ni dhamu hawafatiliwi wa kiwa vyuoni wana uhuru wakuhudhuria au kutoudhuria masomo na wamikiki wa vyuo mda wao ni kufuatilia ulipaji wa ada yao tu mengine wanaachia nacte na wizara hao wanafunzi wana chukuliwa kama undergraduates wa vyuo vikuu (universities) wakati sio sahihi bado wana hitaji miongozo kwenye maisha.

Ni nacho shuhudia ni hiki hapa hao watoto wengi wana toka mikoani na wengine pembeni pembeni mwa jiji au majiji hawajazoea uhuru ulio pitiliza wana limbukeni, na ushamba, wengi ni watoto wa wakulima au watumishi wenye kipato cha kawaida. Wa kiripoti vyuoni huingia hostel na baada ya mwezi kuhama hostel na kuanzisha magheto, bila hata wazazi wao kujua, na wazazi wengi wa Tanzania sio wa fuatiliaji wa elimu ya wanao,

Wasichana wengi wame olewa na bodaboda wengine na vijana wa mitaani wengine wenyewe kwa wenyewe, mtoto kumaliza bila mimba ni nadra sana, kwanza, na nacte haina sheria za kuwazuia au kuwalinda kama wale wa secondary au wa vyuo vya ualimu, kesi mitaani za kuchukuliwa na waumme wa watu ni nyingi sana na hivyo vitoto, kinacho uma zaidi wengi hawana elimu ya magonjwa ya ngono kama ukimwi nk,

Matokeo ya hayo yote ni wengi wana disco baada ya kufaili mtihani wa wizara ya afya jiulize kwanini zaidi ya robo tatu ya wanafunzi wa vyuo vya afya hufaili? kwa mufuano hapa chuo jilani kwa wanafunzi 280 walio fanya mtihani wa taifa wa wizara ya afya ni wanafunzi 23 tu ndo wamefauli bila retake au disco wengi wamerudia wengine ndo basi.

NACTE badilikeni msiwe mnapenda pesa tu za hao wanafunzi za application na registration wekeni regulation kutunza discipline nidhamu kwa hao wanafunzi bado ni wa dogo(16- 20yrs) ni vulnerable kua manipulated na wanaumme wamitaani pamoja na tutors wao.
Mke wangu kanitafutia balaa tu kwa binti yangu wa pili,dogo alikuwa anataka aende chuo asiende Form 6 mimi nilipinga kwa nguvu zote nikiamini Form 6 kidgo kutamkuzakuza mpaka kufikia umri wa kuingia chuo kikuu atakuwa matured tayari lakini nilionekana kama father mnoko..Nikasema sawa aende huko chuo anapotaka na mama yake anapomuunga mkono mwisho wa siku majuzi mama yake ananiambia binti yetu kashaanza kuishi kichuochuo tabia kabadilika viiphone,sijui vinini kwa sasa ndio lifestyle yake anashinda kidimbwi,Mlimani city,status anatuhide akiwa pande hizo yaani full vurugu nilipopata taarifa hii kutoka kwa mke wangu nusu nimuweke makofi..naambatanisha na status ambazo alinihide leo ila wambea wakansanua
Screenshot_20220726-183920_WhatsApp.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220726-183930_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220726-183930_WhatsApp.jpg
    83 KB · Views: 14
Tatizo huku wanataka wajiachie ndio shida inapoanza

JE UNADHANI KUWABANA SANA ITASAIDIA?
Itasaidia tena itasaidia sana, hata huko vyuo vikuu wengi bado ni watoto wadogo ipo haja ya hivyo vyuo kibadiri kanuni za uendeshaji wa hivyo vyuo vikuu, zamani mtu alikuwa anaingia chuo kikuu ana miaka 25 na kuendelea leo hii mtu anaingia chuo kikuu ana miaka 19 huoni kuwa huyo wa miaka 19 anahitaji usimamizi wa serikali.
 
Mke wangu kanitafutia balaa tu kwa binti yangu wa pili,dogo alikuwa anataka aende chuo asiende Form 6 mimi nilipinga kwa nguvu zote nikiamini Form 6 kidgo kutamkuzakuza mpaka kufikia umri wa kuingia chuo kikuu atakuwa matured tayari lakini nilionekana kama father mnoko..Nikasema sawa aende huko chuo anapotaka na mama yake anapomuunga mkono mwisho wa siku majuzi mama yake ananiambia binti yetu kashaanza kuishi kichuochuo tabia kabadilika viiphone,sijui vinini kwa sasa ndio lifestyle yake anashinda kidimbwi,Mlimani city,status anatuhide akiwa pande hizo yaani full vurugu nilipopata taarifa hii kutoka kwa mke wangu nusu nimuweke makofi..naambatanisha na status ambazo alinihide leo ila wambea wakansanuaView attachment 2304763
MZEE BABA ULIKUWA SAHIHI, WASHAHARIBIKA TAYARI
 
Itasaidia tena itasaidia sana, hata huko vyuo vikuu wengi bado ni watoto wadogo ipo haja ya hivyo vyuo kibadiri kanuni za uendeshaji wa hivyo vyuo vikuu, zamani mtu alikuwa anaingia chuo kikuu ana miaka 25 na kuendelea leo hii mtu anaingia chuo kikuu ana miaka 19 huoni kuwa huyo wa miaka 19 anahitaji usimamizi wa serikali.
UKO SAHIHI CHIEF
 
Mbona sekondari wanasimamiwa na wanafanya vizuri, nenda vyuo vinavyosimamiwa na mashirika ya dini uone maadiri yalivyo hauwez kuta upuuzi kama huo.Serikali ifanye kazi yake kulinda na kujenga taifa la kesho
Mkuu ni jukumu la serikali kulinda na kusimamia minors wa nchi ambao wako vurneralble kwa ku-regulate na kutao sheria pamoja na adhabu zake, c unaona ujauzito wa wanafunzi umepungua baada ya kupitisha sheria ya kifungo cha miaka 30.
 
Muache apigwe miti tu mkuu,niliongea nikachoka,dada yangu aliongea akaundiwa gubu la wifi nilikuwa na maana yangu mimi huwezi kuwa na miaka 17 ukaenda kupanga kuishi hosteli na kujiamulia mambo yako mtoto wa kike,haya mambo sisi tumeyaona huko vyuoni tulipopita
Atakuja kujishtukia baadae too late
 
Back
Top Bottom