Makini Sana
Member
- Aug 2, 2019
- 28
- 14
Wakuu
Nina mambo mawili ambayo ninaongea na Nacte pamoja na wizara ya afya kwa kuhusiana na course ya nursing&midwifery
1..Kwa upande wa diploma ilibidi tufanye mtihani tarh 26 augst ila nyie mmeharisha mpaka tarehe 2 sept
2..Viongozi wakuu wa hii course mnachoamua ndo hicho mnaifanya hii course kuonekana haina maana kwa madudu mnauofanya mara mpandishe viwango mara mshushe
Aisee ifike muda sisi vijana tupande kule juu sio muda tena wakukaa wazee wanaiona nesi ni ya kwao
Nina mambo mawili ambayo ninaongea na Nacte pamoja na wizara ya afya kwa kuhusiana na course ya nursing&midwifery
1..Kwa upande wa diploma ilibidi tufanye mtihani tarh 26 augst ila nyie mmeharisha mpaka tarehe 2 sept
2..Viongozi wakuu wa hii course mnachoamua ndo hicho mnaifanya hii course kuonekana haina maana kwa madudu mnauofanya mara mpandishe viwango mara mshushe
Aisee ifike muda sisi vijana tupande kule juu sio muda tena wakukaa wazee wanaiona nesi ni ya kwao