kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Tarehe 4 Novemba ndipo muhula unaanza na hata hivyo inasikitisha kuona kwamba hamjatoa matokeo. Na kibaya zaidi hamtoi taarifa yoyote.
Napenda kuuliza sasa ni lini mtatoa matokeo hayo?
Kuna mengi nilitaka kusema ila naomba niyatunze kwanza. Nasubiri kuona masharti magumu yatakayotoka baada ya matokeo yanayotolewa ili kulinda maslahi ya baadhi ya vyuo binafsi.
Napenda kuuliza sasa ni lini mtatoa matokeo hayo?
Kuna mengi nilitaka kusema ila naomba niyatunze kwanza. Nasubiri kuona masharti magumu yatakayotoka baada ya matokeo yanayotolewa ili kulinda maslahi ya baadhi ya vyuo binafsi.