Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 930
- 579
Ninaomba nacte mutasaidie kuhusu huu wizi wa baadhi ya vyuo vya private,kwani miongoni mwao wameandikia wanafunzi waende kuripoti na pesa ya majengo(Building contibution).Sasa mimi nauliza hawa wamiliki wa chuo husika inakuaje uanzishe chuo bila kuwa na majengo ya kutosha?,na inakuaje NACTE wasajili chuo ambacho hakina majengo ya kutosha kwa ajili ya wanachuo?.Mfano wa chuo kinachotaka wanafunzi waende na LAKI MOJA kwa ajili ya ujenzi wa majengo ni "Shirati school of nursing" kilichopo Rorya-Mara.Je huu si wizi wa wazi wazi?.