NACTE hadi sasa hawajatoa AVN ili wanafunzi waweze ku-apply vyuo vikuu, watumbuliwe tu

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,810
21,411
Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline kama TCU walivyotangaza ni tar 15.10.2021 tayari zimeshakaribia.
 
Mashirika na idara za serikali Tanzania zimekua kikwazo kikubwa kwenye hizi online applications
Kilio kilekile cha BRELA, TIC, TRA, MUNICIPAL AUTHORITIES, TBS, TFDA... ndio hikihiki cha NACTE

Sijui kuna tatizo gani kwenye ku automate hizi systems pamoja na kuweka muda kamili wa kukamilisha tasks pamoja na kutoa feedback kwa clients na watoa huduma?

Kuchelewa kufanya jambo lolote ni kupoteza muda na pesa either direct or inderict. Na sio kwa wanaohitaji huduma tuu hata watoa huduma wana hasara
 
Hivi hakuna mfumo wa kupima utendaji kazi kwenye taasisi za serikali?
 
Hivi hakuna mfumo wa kupima utendaji kazi kwenye taasisi za serikali?

Ungekuepo yote haya yasingekuepo

Kulitakiwa kuwe na mfumo ulio wazi kwa mtoa huduma na mteja wake katika kumanage turnaround time kwa kila task, idadi ya clients na maoni/mlishonyuma yao ili watendaji waache kuwaongopea wakubwa zao na kuiibia serikali na wananchi au wateja muda na pesa
 
Ungekuepo yote haya yasingekuepo

Kulitakiwa kuwe na mfumo ulio wazi kwa mtoa huduma na mteja wake katika kumanage turnaround time kwa kila tasks, idadi ya clients na maoni/mlishonyuma yao ili watendaji waache kuwaongopea wakubwa zao na kuiibia serikali na wananchi au wateja muda na pesa
Kweli kabisa.huduma za serkali zinazid kua mbovu kisa watendaji wake.
 
Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline kama TCU walivyotangaza ni tar 15.10.2021 tayari zimeshakaribia.
Kwenye hii case,vyuo havipeleki matokeo ya wanafunzi kwa wakati ili yawe verified na ku process AVN.Kama hujapata AVN mpaka muda huu basi wasiliana na chuo moja kwa moja na wakupe uhakika kama matokeo yote yamepelekwa NACTE.
 
Habari, jaribu kuwasiliana na chuo chako kama washapeleka matokeo kwa mfumo wa soft copy pamoja na hardcopy, kisha angalia kwenye ukurasa wa nacte kwenye student information verification ili kuhakiki taarifa zako ukishakamilisha hayo waweza sasa kuomba avn number, au fika ofisini kwao mikocheni kwa msaada zaidi.
 
Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline kama TCU walivyotangaza ni tar 15.10.2021 tayari zimeshakaribia.
Duh! Mimi pia nasubiri hzo AVN kutoka NACTE ili nifanye application za vyuo vikuu. Na deadline ndo hiyo inafika, zimebaki siku mbili tu jamani!
 
Habari, jaribu kuwasiliana na chuo chako kama washapeleka matokeo kwa mfumo wa soft copy pamoja na hardcopy, kisha angalia kwenye ukurasa wa nacte kwenye student information verification ili kuhakiki taarifa zako ukishakamilisha hayo waweza sasa kuomba avn number, au fika ofisini kwao mikocheni kwa msaada zaidi.
NACTE wawaambie wanafunzi ukweli na waingieJf wajibu hoja za watanzania. Chuo cha serikali hombolo wanafunzi wanalalamika, sasa NACTE wajibu tatixo liko wapi? Ni wao au ni chuo
 
Back
Top Bottom