Husband seeker
Senior Member
- May 6, 2018
- 125
- 76
Salaam people
mimi nina rafiki yangu anampenzi wake wanazini.
ila anakwazikaga kwa maana mpenzi wake anaishi kwenye nyumba za kushea choo .
mf. wanalalana halafu choo ikisha wanaenda bafuni kutoka huko mpaka bafuni watu wanawacheka kuwa anaenda kuoga kisa wamemaliza shoo zao.
nikaona ni mbaya kweli kupanga nyumba choo kiko njee kama unampenzi maana mnakuwa mnachoreka kiasi Kikubwa .
nyumba zipo hadi laki moja simjisitiri?
Halafu unakuta mi wanaume yenye misifa ndio inapanga huko ili waonekane maisha wanaoishi.
jirani anakuambia juma toka huko na haja na mimi dah hiyo ni mbaya.
usiku ukiwa😦 na haja unatokaje?
Je ukibakwa?
mimi nina rafiki yangu anampenzi wake wanazini.
ila anakwazikaga kwa maana mpenzi wake anaishi kwenye nyumba za kushea choo .
mf. wanalalana halafu choo ikisha wanaenda bafuni kutoka huko mpaka bafuni watu wanawacheka kuwa anaenda kuoga kisa wamemaliza shoo zao.
nikaona ni mbaya kweli kupanga nyumba choo kiko njee kama unampenzi maana mnakuwa mnachoreka kiasi Kikubwa .
nyumba zipo hadi laki moja simjisitiri?
Halafu unakuta mi wanaume yenye misifa ndio inapanga huko ili waonekane maisha wanaoishi.
jirani anakuambia juma toka huko na haja na mimi dah hiyo ni mbaya.
usiku ukiwa😦 na haja unatokaje?
Je ukibakwa?