Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 501
- 269
Nachukia kuwa profesa SIASA ambaye anashindwa hata kutengeneza mambo ya familia yake,wanaacha kusimamia ukweli na hao wachungaji wa kisiasa ambao wanaacha kuchunga waumini wao badala yake wanachunga SIASA.faida gani kwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app