Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,284
- 2,401
Miradi ya kimkakati inahitaji hela... Ni kukamuliwa mwanzo mwisho.Kila siku serikali inaongeza ugumu katika uagizaji wa magari ama kwa kuongeza Kodi au kuleta complication tu zitakazo ongeza urasimu usio na sababu ila lengo Ni kuwaumiza raia tu hamna kingine