Nachelewa sana kukojoa na kumkera mpenzi wangu. Nifanye nini twende sawa?

mkubhi

JF-Expert Member
Sep 9, 2015
2,204
3,308
Za asubuhi washilika wa jukwaa hili?

Wadau naombeni msaada wenu , wadau nimekuwa natabia yakufanya mgegedo mda mrefu sana bila kufunga goli inayopelekea mwenzangu kulaumu sana kuwa amechoka ilihali mwenzake bado natamani kuendelea na hii inaweza kuwa tumefanya sichini ya dakika 45 hapo unakuta dalili ya goli bado haipo kabsa!!

Wadau nashindwa kuelewa kama hilo nalo kama nitatizo na kama nitatizo napaswa nifanye nini ili kuhakikisha naenda sawa na mpenzi wangu?

Kama kuna mtu nitamuudhi natanguliza samahani kwa sababu kwa mda mrefu nimevumilia nimeshindwa nmeona nifunguke tu!
 
Za asubuhi washilika wa jukwaa hili?

Wadau naombeni msaada wenu , wadau nimekuwa natabia yakufanya mgegedo mda mrefu sana bila kufunga goli inayopelekea mwenzangu kulaumu sana kuwa amechoka ilihali mwenzake bado natamani kuendelea na hii inaweza kuwa tumefanya sichini ya dakika 45 hapo unakuta dalili ya goli bado haipo kabsa!!

Wadau nashindwa kuelewa kama hilo nalo kama nitatizo na kama nitatizo napaswa nifanye nini ili kuhakikisha naenda sawa na mpenzi wangu?

Kama kuna mtu nitamuudhi natanguliza samahani kwa sababu kwa mda mrefu nimevumilia nimeshindwa nmeona nifunguke tu!
duuh dkika 45 ndugu una pafu la mbwa nn?
 
Za asubuhi washilika wa jukwaa hili?

Wadau naombeni msaada wenu , wadau nimekuwa natabia yakufanya mgegedo mda mrefu sana bila kufunga goli inayopelekea mwenzangu kulaumu sana kuwa amechoka ilihali mwenzake bado natamani kuendelea na hii inaweza kuwa tumefanya sichini ya dakika 45 hapo unakuta dalili ya goli bado haipo kabsa!!

Wadau nashindwa kuelewa kama hilo nalo kama nitatizo na kama nitatizo napaswa nifanye nini ili kuhakikisha naenda sawa na mpenzi wangu?

Kama kuna mtu nitamuudhi natanguliza samahani kwa sababu kwa mda mrefu nimevumilia nimeshindwa nmeona nifunguke tu!
dogo acha mchezo wa NYETO mara moja hili tatizo litakwisha
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom