Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Zamani tuliamini na kunasibisha matendo ya wasomi na tabia zao. Ila naangalia mwenendo, matendo na maisha ya Hamis Kigwangala yananifanya nijiulize kuwa Daktari ni uwezo wa akili kupambanua mambo au inategemea na kufanya mitihani ya darasani?
Unapokuwa na Daktari ambaye kila jukumu analokabidhiwa anafeli na ajui kama anafeli ili ajirekebishe unajiuliza reasoning capacity ya huyu mtu ipo sawa?
Ni kweli hadhi ya Uwaziri imeshuka kiasi cha kumfanya Kigwangalla kuishi mitandaoni akitukanana na watu wa mitandao? Nini makatazo kwa viongozi waandamizi wa Taifa letu? Kwamba kesho mtu wa tabia hii Hana waangaliz huko CCM wakumwelekeza aishi vipi baada yakunyimwa Uwaziri? Elimu yetu imeshuka kwa Kasi hii au watu wanapata madaraka kwa ngekewa?
Pls Kigwangalla tulitegemea uheshimishe hadhi ya madaraka lakini siyo kama unavyoishi nakuandika mitandaoni. Kwanini unadhiirisha una msongo wa mawazo kwa kukosa uwaziri? Haiwezekani ukaa kimya na stress zako? Je, hata mke na marafiki awakusaidii kukuelimisha namna yakuiishi na msongo wa mawazo?
Jaribu kujikubali mdogo wetu ufanye kazi za msingi kuliko kukesha mitandaoni huku ukidhalilishwa. Kimya kitakusaidia
Unapokuwa na Daktari ambaye kila jukumu analokabidhiwa anafeli na ajui kama anafeli ili ajirekebishe unajiuliza reasoning capacity ya huyu mtu ipo sawa?
Ni kweli hadhi ya Uwaziri imeshuka kiasi cha kumfanya Kigwangalla kuishi mitandaoni akitukanana na watu wa mitandao? Nini makatazo kwa viongozi waandamizi wa Taifa letu? Kwamba kesho mtu wa tabia hii Hana waangaliz huko CCM wakumwelekeza aishi vipi baada yakunyimwa Uwaziri? Elimu yetu imeshuka kwa Kasi hii au watu wanapata madaraka kwa ngekewa?
Pls Kigwangalla tulitegemea uheshimishe hadhi ya madaraka lakini siyo kama unavyoishi nakuandika mitandaoni. Kwanini unadhiirisha una msongo wa mawazo kwa kukosa uwaziri? Haiwezekani ukaa kimya na stress zako? Je, hata mke na marafiki awakusaidii kukuelimisha namna yakuiishi na msongo wa mawazo?
Jaribu kujikubali mdogo wetu ufanye kazi za msingi kuliko kukesha mitandaoni huku ukidhalilishwa. Kimya kitakusaidia