Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Wewe unaamini katika Nini?Wapi nimesema kuwa mimi ni Mkristo?Nimetumia mfano wa Yesu kwa sababu hii mada inahusu mambo ya unabii ila dini zote ni porojo tu!Sasa unaamini na kuwekeza nguvu nyingi katika kitu ambacho hakikusaidii ili iweje?