johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Nabii wa kanisa la Efatha mtume Mwingira akiwa ziarani jijini Mbeya amesema uchaguzi wa serikali za mitaa na ule mkuu umekaribia hivyo anaamini Mbeya watafanya maamuzi sahihi
Katika ibada iliyohudhuriwa na RC wa Mbeya mh Chalamila pamoja na DC wake, Mwingira ameombea amani wakati wa uchaguzi.
Pia Nabii Mwingira amewataka wanasiasa kuacha kutafuta vyeo kwa njia ya kutukana wenzao au kuchongea chongea mambo ya kubuni.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Katika ibada iliyohudhuriwa na RC wa Mbeya mh Chalamila pamoja na DC wake, Mwingira ameombea amani wakati wa uchaguzi.
Pia Nabii Mwingira amewataka wanasiasa kuacha kutafuta vyeo kwa njia ya kutukana wenzao au kuchongea chongea mambo ya kubuni.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!