Uchaguzi 2020 Nabii Mkuu Geo Davie: Mchagueni Magufuli, acheni ushabiki

Manabii wa leo buana, Wanaangalia upepo unavyokwenda ndo wanaingiza unabii, Magu mbona hauitaji hata huo utabiri??

Wamtabilie mwingine hata Yule aliyeenda ugenini kule hii ni baada ya Magu Kwa vipindi vyake Vyote Mungu akiidhinisha kuendelea kuwepo uhai wake
 
Namkubali his excellence JP Magufuli, ila pia sikubaliani na watumishi wanasiasa.

Madhabahu sio mahala pa siasa hata kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom