Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,344
- 2,015
Mkuu kamtafute baba yake kim kardash akutafutie daktari kabisa maana naona wewe ni shabiki wa ccm na si KADA WA CCM
Wewe sio kada wa chadema ila ni mnywa viloba na mvuta bangi
Mkuu kamtafute baba yake kim kardash akutafutie daktari kabisa maana naona wewe ni shabiki wa ccm na si KADA WA CCM
Chaguo la shetani ni Lowasa bali chaguo la Mungu NI Magufuli ila kwa walevi na vichaa nasubiri matusi yenu maana hata akili za kupambunua cha Mungu na shetani mmeshindwa.
Hata mimi nimeoteshwa Lowasa atashinda Kata ya Monduli na siyo Tanzania.
Magufuli hata mke wake hamuungi mkono...nakushangaa wewe!
Zinduka...mtu aliyeshindwa kuiongoza familia yake vyema ataweza watu 50M?
manabii wa kweli wangetabiri miaka15 iliyopita kabla el ajaanza harakati zake ovu na ya za kishetani za kuutaka uraisi kwa udi na uvumba hapo ningewaamini.
Hamjastuka mpaka sasa kuwa huyo mchungaji ni mshirikina na kuna kila uwezekano kuwa huyo kaka'ke alimtoa kikoa?
Fox vipi kuhusu Yahya Hussein Junior sio mshirikina?
Amini nawambia!!! Tutengenezeni njia ya Bwana na Tuyanyoosheni mapito yake. Hakika wokovu wake u karibu na wamchao( wamwaminio ), utukufu ukae katika nchi yetu ya Tanzania. Kila bonde litajazwa, milima itashushwa, palipopotoka patakuwa pamenyoshwa. Hii ni sauti ya mtu aliye nyikani. Baadae tusije tuka shikana mashati.
KWANINI TB JOSHUA ALIKATAA KUONGEA NA LOWASSA?Zikiwa zimebaki siku 17 mwanga na nuru ushaanza kuangaza. Nabii M. Thomas kutoka nchini Kenya kaonyeshwa maono ya kwamba Lowassa atashinda katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika tarehe 25.10.2015....... (K24, 5.9.2015).
Nabii Thomas anakumbukwa sana kwa unabii wake kuhusu Uhuru Kenyata. Mnamo siku ya jumamosi tarehe 23.February. 2013 alisema kwamba Bwana kanena naye ya kwamba Uhuru Kenyata ni chaguo lake (Bwana) na atakuwa Rais wa awamu ya nne ya Jamhuri ya Kenya.
Kwa mara nyingine nabii huyo kasema kuna ishara nyingi ambazo kaonyeshwa za Lowassa kushinda katika uchaguzi huu na kwamba Lowassa atakuwa rais wa awamu ya 5 ya JMT.
Wimbi la manabii kuonyeshwa maono juu ya Edward Lowassa unazidi kushamiri. Ambapo mwaka juzi Nabii TB Joshua alionyeshwa maono. Na mwaka jana Nabii Mabumba wa Tanzania naye alitoa unabii wa Lowassa kuwa rais.
Mytake: Chaguo la wengi, ni chaguo la Mungu, Uungwaji mkono anaopata Lowassa ni ishara tosha kuwa ni chaguo la Mungu.
Ujumbe umefika.11 Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.
Kwani anafanya nini? sielewi, kwa hiyo siwezi ku judge mtu kwa jina lake tu.