Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 6,166
- 46,679
Mungu ni mvumilivu sana yani.
hawa ndio wanaofanya ulokole uonekene utapeli.View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
Dunia langilengile kila mtu ana yake, huo mkanda alipewa na nani huko kuzimu?View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
Wakiambiwa Ukatoliki ndio Ukristo halisi, wanatokwa mapovu. Waprotestanti wameharibu sana image ya UkristoUkiristo sasa hivi umejidhalilisha sana...yaan ukiristo umegeuka mwanasesere
Nani amekuambia huyo ni Mkristo?Ukiristo sasa hivi umejidhalilisha sana...yaan ukiristo umegeuka mwanasesere
Huyu nabii wa kuzimuNani amekuambia huyo ni Mkristo?
Oh kumbe ni muislam!!Nani amekuambia huyo ni Mkristo?
Na prophet akawa John CinnaKwa hiyo Shetani akawa Mandonga...
Atueleze kulikuwa na ambulance ngapi?Dah.. Inabidi mchungaji atufahamishe pambano lilikua la uzito gani,raundi ngapi na ameshindaje kwa point or kwa K O?
Si kweli kuwa rc ndo ukirsto halisi...sema wamepata loophole ya kuudhalilisha ukiristo kiujumla...!Wakiambiwa Ukatoliki ndio Ukristo halisi, wanatokwa mapovu. Waprotestanti wameharibu sana image ya Ukristo
Anaweza asiwe piaOh kumbe ni muislam!!
Ukatoliko umejaa ushetani. Ibada za sanamu, kufira watoto, kubaka masista, yote hayo hayampi Mungu sifa na utukufuWakiambiwa Ukatoliki ndio Ukristo halisi, wanatokwa mapovu. Waprotestanti wameharibu sana image ya Ukristo
Ukatoliki na wenyewe miyeyusho. Sabato ndio Wakristo pekee wasio na maskendoSi kweli kuwa rc ndo ukirsto halisi...sema wamepata loophole ya kuudhalilisha ukiristo kiujumla...!
Go back and forth baby, just like you are blowjobbingNabii wa kanisani kwetu akiwa ibadani miezi kadhaa iliyopita.
Beesmom karibu kanisani kwetu.
View attachment 2411064