Uko sahihi, mimi ni watu nisio waamini wajiitao manabii. Wote ni waongo na matapeli.Ni kama uanze kubishana na mtu ambaye haamini kuwa kuna mtu hajawahi kula kuku.
Uko sahihi, mimi ni watu nisio waamini wajiitao manabii. Wote ni waongo na matapeli.Ni kama uanze kubishana na mtu ambaye haamini kuwa kuna mtu hajawahi kula kuku.
Mwenzako nishamwambia kule juu.Uko sahihi, mimi ni watu nisio waamini wajiitao manabii. Wote ni waongo na matapeli.
Tuuache tu huu ubishi hauna tija.Mwenzako nishamwambia kule juu.
Kwanza wewe ni dini gani. Na dhehebu? Nisije nikawa nabishana na wrong teen
KweliHao ni Waislam jina.
MatapeliHahaha HAKUNA nabii wa ukweli, yani kwa lugha nyingine Manabii WOTE ni WAONGO na MATAPELI.
Wazee kumekucha?
Wakati nakuja Dar rasmi kwa ajili ya kuanza makazi ya kudumu nikajisogeza kwa nabii Frola ili nisogeze shida zangu za kiuchumi. Pia nilikwenda nijifunze utumishi wa Mungu maana nilipokuwa mkoani tuliwahi kuwasiliana na kupanga hayo. Nilipokuja Dar sikumtaarifu kuwa nimekuja nikajipenyeza tu na nilienda kanisani kwake. Niliona mifumo ya kiutofauti katika ibada kwa Jumapili 2. Nikajipa moyo huenda ni mafunuo tu.
Jumatatu tar 1,Septemba 2014 nikaenda kwenye ibada, ibada ambayo pia hukutana na mtu mmojammoja na kumweleza yaliyo sirini. Sasa huku tukiwa foleni wale wapambe kazi yao ni kutoa shuhuda za uongo ili kutuandaa kisaikolojia huku wakisisitiza mara tutakapoonana na Nabii tutoe kiasi kikubwa maana nabii anajua mpaka kilicho mfukoni au benki.
Mara nabii akaenda mapumziko ya lunch kwa nusu saa hivi. Aliporudi akafanya ibada ya pamoja iitwayo ya unabii. Akamtabiria wa kwanza, wa pili na Mimi nikawa wa tatu. Nabii alikuwa hanijui licha ya kwamba tumewahi kuwasiliana mara kadhaa. Ile siku nilivaa suti nyeupe, kuanzia viatu, soksi mpaka shati juu. Akaniambia pita mbele nikapita. Akaanza "Wewe una kiwanja na unahangaika kutafuta wateja kwa muda mwingi lakini imekuwa ngumu, Mungu ananiambia anakwenda kukuinua sana na hata kiwanja utakiuza kwa fedha nyingi" kweli si kweli? Nikamjibu kweli .
Akaniambia toa sadaka ya shukrani na wenzako wakuunge mkono. Nilikuwa na kahela kidogo ila nikagoma kutoa maana wakati huo sikuwa hata na kiwanja, nikarudi kwenye kiti nilichokalia nikakusanya vitu vyangu nikaondoka huku ibada inaendelea.
Nabii Frola ni tapeli na muhuni tu. Hawa manabii wote ni wahuni na wezi, zama za manabii zimepita, Nimewafanyia tafiti wengi na kubaini ni wezi wanaotumia ujinga wa waumini.
Dawa ya kufanikiwa ni kufanya kazi kwa juhudi na kumtegemea Mungu pekee.
Samahani heading nimekosea ni September mosi na si Agosti.[/QUOTE
Nenda kwa kwa kakobe. Ndie mtumishi wakweli aliyesalia hapa 🇹🇿 tz
waislam jina wakoje?Hao ni Waislam jina.
Ambao hawafati mafundisho ya Kiislam.waislam jina wakoje?
Shunie mamboHahaha sijui alikua anamaanisha nn
Hukuwahoji..hiyo hela inatumwa kutoka wp??maana pesa yyte inayoingia tigo pesa lazima ionyeshe mtumaji...
Wengi walianza kwa majina ya mchungaji, ila walipoona majina haya hayana nguvu ya kimvuto wakajipachika majina ya nabii na wengine mtume. Wengine mtume na nabii
Wajinga ndio waliwao watu wanacheza na mind zao tu,nakazia wote WEZI.Hahaha HAKUNA nabii wa ukweli, yani kwa lugha nyingine Manabii WOTE ni WAONGO na MATAPELI.
Ninajaribu kuwaza baada ya uhuni huu uliovikwa jina la "Unabii", "Utume" na vinginevyo itakuja kitu gani tena?Wajinga ndio waliwao watu wanacheza na mind zao tu,nakazia wote WEZI.
Kama hawafati sio waislam.pia kwa dini nyingine ni hivo hivo.NDIO TATIZO kwa mfano alkaeda, boko haram wanasema wenzo sio waislam kwa vile labda hawafugi ndevu nk,Ambao hawafati mafundisho ya Kiislam.
Mie niliambiwa mke wangu ananifunga nisiendelee, wakati sijawahi oa, sina mwanamke mwenye lengo nae mie chapa ilale.
nikauliza mara 2 akaanza porojo nikasema sawa sawa
Mie niliambiwa mke wangu ananifunga nisiendelee, wakati sijawahi oa, sina mwanamke mwenye lengo nae mie chapa ilale.
nikauliza mara 2 akaanza porojo nikasema sawa sawa