pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,653
- 13,711
Mathayo 7
Msihukumu nanyi mtahukumiwa maana kiasi kilekile mnachohukumu ndicho kiasi hiko hiko nanyi mtapimiwa kuhukumiwa.
kuna laana katika
1.Kuhumu wenye haki
2.kunyooshea watumishi wa Mungu vidole
3.Mungu anamwita mtumishi wake katika hali yoyote
4.Mungu usifikiri hakuoni maovu yako, usifikiri hakujui anakujua lakini wewe hajakuhukumu lakini wewe unamuhukumu binadamu mwingine, unamfanya Mungu hana akili? hajui analolifanya?
5.Mungu kamwita jinsi alivyo ili Mungu ajitwalie utukufu wake. Yesu akasema sijaja kwa ajili ya wenye haki nimekuja kwa kwa ajili ya waliopotea ili wapate uzima na uzima tele! Mungu anaweza kukupa maradhi ya cancer ya ngozi ili ujue hapendi dhambi unayofanya. Mungu anaweza kukuparalizisha mkono wako unaoandika hapa. Mungu anaweza kukupa maradhi ya kujinyea na kujikojolea anaweza kuuwa anaweza kufufua! wewe ni nani binadamu unayejihesabia haki mbela ya Mungu? wewe ni mkuu kuliko Mungu wa majeshi? wewe ulimuumba Mungu au yeye alikuumba wewe? na unamhukumu binadamu mwenzako? unamfanya Mungu mjinga? Mungu alikosea kuumba? iyo akili nani kakupa? iyo afya unayoringia mpaka unamhukumu mwingine? unampangia Mungu nani amfanye mtumishi? mbona wewe mzima Mungu kakuruka kamfuata mtumishi wa Mungu? angalia Mungu asije kukuangamiza! Mungu anaweza kukufanya ombaomba maisha yako yakawa magumu! Na akafanya mlangowako kwa Nabii flora alafu ndio wa kukuombea sijui utaenda au utaendelea kumsema? Mungu anaweza kukupiga wewe unayemsema mtumishi wa Mungu alafu kwa makusudi mlango wa wewe kufungulia akaufanya kwa uyu mtumishi. kila mahali unapoenda Mungu hakufungui mpaka kwa uyu nabii sijui utafanyaje? Mungu anaweza kukuletea msiba kwako! anaweza kukutesa! ila anakuangalia tuu unahukumu binadamu mwenzako alafu unamtukana mtumishi wa Mungu. Goliath alikuwa na kiburi zaidi yako lakini Bwana wa majeshi alimpoteza kwa jiwe moja tuu, alijitapa kama wewe! alitukana kama wewe! alijiinua kama wewe! angalia hasira ya Mungu isije kukuangukia. siandiki kukutisha ila nakueleza ya kuwa Mungu hataki na hapendezwi! kujihesabia haki! angalia Mungu asiruusu jiwe lililopiga Goliath likupige na wewe.
Hata utapeli wa wazi msiambiwe jamani? hapo mnatapeliw tu hamna kitu, nurudi ktk makanisa yenu na mtubu kabisa,