Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
sasa kama ni mkaaaali , utacharazwa vbao mkuu enei safari njema
Haha ungemuuliza mbona hutulii jombaa
Haha ungemsogezea upaja apate joto lako uone anavyohangaika lazima angekusemesha tunilitaman kummuuliza !ilifika kipind ananigusa kbs !khaa!
Haha ungemsogezea upaja apate joto lako uone anavyohangaika lazima angekusemesha tu
aisee sasa huyo ndo umpe mzigo utaula kimawenge sana au atasingizia ana dosealinisemesha mwishowe !alikua anatetemeka huyo
Anaweza kukupa no na usimpateUbungo mbali mkuu...chalinze tu nshapewa no na anasema KESHO anarud Moro.. ..simwachi
Sijawahi fanya ujinga uo hahahahahah elfu 30 kahWatext marafiki zako watatu wawe wanakupigia kila mara kisha jifanye kuwapa maelekezo kama vile wewe ndio boss wao,
Mfano
Eee hallow mwambie secretary akupe funguo za gari ufuate mzigo kariakoo,
Simu ya pili ... hellow john simamia vizuri hao mafundi nitakuja kukagua hilo jengo siku ya jumatatu,
Nunua gazeti la mwananchi jifanye uko busy .. then baadae baadae, msemeshe chochote then omba namba akikupa mtandike elfu ,30 ya vocha.
Msalimie mambo vip akijibu tulia kama dk 15 hv Kama umekaa dirishani wewe jifanye uko busy kuangalia mazingira then waweza geuka ukamshtukiza kwa swali hv TMA walisema leo kutakuwa na jua kali sana na wanashauri watu wanywe maji mengi. Unamuita muuza maji unanunua kilimajaro mbili kubwa unamwambia karibu. (Cha kwanza ataona unajali af atajichekesha uongo na kweli) iyo gia namba moja vingine malizia nilikuwa nakupa Ignation tu kakaNiko Ndani ya basi from Moro to Dar...pembeni Mtoto mkaaali...shida naanzaje? Wadau nipeni procedures!
Shkamoo jf.....!!1 Habari yako
2 Hii ndio mara yako ya kwanza Dar?
3 Utafika wapi ningependelea tuonane tukifika dar
4 Sio vibaya ukanipatia namba yako tukajuana zaidi
5 Dar kuna watoto wazuri lakini Moro kuna malaika
6 Nimeoteshwa leo nikisafiri nitakaa karibu na waridi na nitapata kunukia. Ndoto yangu imetabirika
7 Usione natetemeka mwanamme wa mikoani kutongoza sijui. hahaha