Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,824
- 33,209
Hizi za miaka 10 ni sawa, kuna zile za muda mfupi nadhani zilikuwa 10,000 not very sure thoughPassport lini ilikuwa 10000?
Tokea 2005 zilipoanza hizi kubwa bei ilikua 50000
Hizi za miaka 10 ni sawa, kuna zile za muda mfupi nadhani zilikuwa 10,000 not very sure thoughPassport lini ilikuwa 10000?
Tokea 2005 zilipoanza hizi kubwa bei ilikua 50000
Kuwa nacho sio kigezo cha kuwa raia.Wengi sio raia na wanavyo utasemaje ni usahihi wa uraia sasaUnataka kuniambia kitambulisho cha kuntambulisha mtu kuwa ni raia hakiaminiki? Kama wanaotoa kitambulisho cha urai si wataalamu wa mambo ya urai, nani wataalamu?
Unafikiri ni nani wanaweza sana kazi ya kutambua uraia wa mtu zaidi ya NIDA wanatoa vitambulisho vya uraia?Kuwa nacho sio kigezo cha kuwa raia.Wengi sio raia na wanavyo utasemaje ni usahihi wa uraia sasa
Walitoaje vitambulisho vya taifa bila kujua uraia wa wanayempa hicho kitambulisho?NIDA hawana wataalamu wa kujua uraia wa mtu hapo ni hatari ya kutoa passport kwa wageni
Asante sana mkuu kwa info. Hii pia ni hata kama una passport ya zamani unataka badilisha?Hakikisha umejaza kwanza ile form yao ya online,umeilipia ile Tshs 20,000 kwanza,then attach picha kwenye ile form,then submit! Jinsi unavyojibu maswali yao kwenye ile online form yao,ndiyo unavyotengeneza maswali! Nenda kwa mwanasheria akuandalie affidavit kama wazazi hawapo hai,kama wapo hai andaa vyetu vyao vya kuzalia vya kwao,hapa hua Cheti cha kuzaliwa cha Baba
1. Unapoenda uhamiaji! Make sure una documents hizi!
a) Barua ya kutoka serikali za mitaa au kutoka ulikoajiriwa.
b) NIDA
c) Cheti chako chakuzaliwa
d) Affidavit au Cheti cha kuzaliwa cha Mshua
e) Tshs 130,000/= Cash uwe nazo mkononi,watakuambia ulipe pale kwao wana Bank ya NMB! Hii yakulipia kwao nazungumzia kama upo Dsm,kwa mkoani sijui
Umati wote ile huo mda wa kuchuja huyu ni raia na sio raia wautoe wapi.Walitoaje vitambulisho vya taifa bila kujua uraia wa wanayempa hicho kitambulisho?
Immigration departmentUnafikiri ni nani wanaweza sana kazi ya kutambua uraia wa mtu zaidi ya NIDA wanatoa vitambulisho vya uraia?
Wengi wanadhani ukizaliwa tu Tanzania tayari ni Mtanzania.Kama baba yako au babu yako hakuwahi kuukana uraia wa alipotoka hata ukizaliwa tza wwe sio Mtanzania sasa NIDA wanajua haya.Kupeleka barua ya mtendaji, vyeti vya kuzaliwa sio kigezo cha uthibisho wewe ni uraia.Kuna wenye fani za kujua thus Passport haitolewi tu kama kitambulisho tuUnafikiri ni nani wanaweza sana kazi ya kutambua uraia wa mtu zaidi ya NIDA wanatoa vitambulisho vya uraia?
Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.
Aiseee siaminiHabari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua.
Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu.
Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.
Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
...Kwa kauli hii ina maana hata Vitambulisho vya Taifa vina Wageni Kibao...??NIDA hawana wataalamu wa kujua uraia wa mtu hapo ni hatari ya kutoa passport kwa wageni
Vikichunguzwa kwann wasiwe navyo...Kwa kauli hii ina maana hata Vitambulisho vya Taifa vina Wageni Kibao...??
Huyo anafurahisha baraza tu. Hakuna mtu aliyedhamiria kwenda nje anayekosa passport au bei inamshinda.Jiongeze waambie unaenda Malawi kutalii. Hautadaiwa sijui barua ya safari sijui una sh ngapi na passport utapewa, yangu mi niliwaambia naenda Msumbiji, ile ya zamani
Hawa huko nyuma si watu kibao walikuwa wanajipatia passport zetu na kufanyia mambi ya ajabu? Mi nafikiri NIDA kazi yao wameifanya kwa ufasaha kabisa. Ni ngumu kughushi taarifa zote zile. Naona NIDA wamefanya kwa weledi kuliko hata hao uhamiaji walivyokuwa wanafanya. Na pia kama kazi yao haiaminiki basi haifai kitu.Immigration department
Kwa kuongezea, zile fomu za NIDA zilikuwa zinapita na uhamiaji pia. Kwahiyo kama zina shida basi na uhamiaji wanahusika.Immigration department
Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua.
Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu.
Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.
Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
nini tofauti passport vs Visa?