Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Watanzania sio wajinga, ukija na hoja za kitoto wanakusikiliza kisa wanapima unachosema.
Hakuna ubishi kuwa upinzani hapa Tanzani ulipata nguvu sababu ya makosa ya Ccm kama chama tawala kuruhusu ufisadi.
Nani asiyekumbuka kuwa Lyatonga Mrema alipata kiki baada ya kuibua ufisadi wa mfanyabiashara Chavda.Mrema akapata kick na kuwa kama mkombozi. Chadema ya Dk Slaa ilisifika kwa kuibua madudu ambayo ndio yamesababisha Ccm ijirekebishe.
Hivi yapata miaka 29 tangu tuingie kwenye siasa za vyama vingi,watanzania wanajua kupima hoja zipi zina mashiko na zipi hazina mashiko. Hivyo sio wakati wa kuburutwa na wapinzani kwa propaganda ambazo hazina mashiko.
Kipindi hiki ambacho ufisadi umebinywa na kila mtanzania anaona maendeleo yanavyofanyika nchini sio rahisi kumshawishi mtu kuwa diversification of economic development haifanyiki hapa Tanzania.
Hivi ninyi wapinzani mnaweza kushawishi umma kuwa sasa maendeleo yapo centralized eneo moja? Kwa kigezo kipi?
Mbona kila mtanzania anajua,sasa hamna hoja. Sababu hoja ya ufisadi iliyokuwa inawabeba haipo. Sasa mnataka kueneza uongo kuwa kuna upendeleo katika kutekeleza miradi ya kimkakati. Hivi mnadhani Watanzania watawaelewa?
Hakuna ubishi kuwa upinzani hapa Tanzani ulipata nguvu sababu ya makosa ya Ccm kama chama tawala kuruhusu ufisadi.
Nani asiyekumbuka kuwa Lyatonga Mrema alipata kiki baada ya kuibua ufisadi wa mfanyabiashara Chavda.Mrema akapata kick na kuwa kama mkombozi. Chadema ya Dk Slaa ilisifika kwa kuibua madudu ambayo ndio yamesababisha Ccm ijirekebishe.
Hivi yapata miaka 29 tangu tuingie kwenye siasa za vyama vingi,watanzania wanajua kupima hoja zipi zina mashiko na zipi hazina mashiko. Hivyo sio wakati wa kuburutwa na wapinzani kwa propaganda ambazo hazina mashiko.
Kipindi hiki ambacho ufisadi umebinywa na kila mtanzania anaona maendeleo yanavyofanyika nchini sio rahisi kumshawishi mtu kuwa diversification of economic development haifanyiki hapa Tanzania.
Hivi ninyi wapinzani mnaweza kushawishi umma kuwa sasa maendeleo yapo centralized eneo moja? Kwa kigezo kipi?
Mbona kila mtanzania anajua,sasa hamna hoja. Sababu hoja ya ufisadi iliyokuwa inawabeba haipo. Sasa mnataka kueneza uongo kuwa kuna upendeleo katika kutekeleza miradi ya kimkakati. Hivi mnadhani Watanzania watawaelewa?