Naanza kuiona Tanzania iliyobadilika. Watanzania hawasikilizi propaganda za uongo za Wapinzani

Mi najiuliza hawa watu wanaoanzisha thread kama hii wapo Tanzania hii au ni nyingine? Wanaishi maisha haya haya au mengine?
 
Hebu wataje hapa acha bla blah..
Lissu lema chahali na wengine wamekimbia nini!?
Hawa walioko humu sio wakosoaji na wala sio wapinzani, ni unafiki tu
Akina zitto maalim lipumba mbatia wote hao kwa sasa eidha wameungana na watesi wao kimya kimya au wamefungwa kisiasa

Nakwambia hivii tumia akili ya kuvukia barabara tu utaona kua hakuna!
Fatma karume, Maria tseshai, Zito muigizaji? Una kichaa ww
 
Mi najiuliza hawa watu wanaoanzisha thread kama hii wapo Tanzania hii au ni nyingine? Wanaishi maisha haya haya au mengine?
Tuko hapa hapa nchini, labda tuwaulize nyie mnaolia kubanwa uhuru, mpo nchi hii hii, au
 
Nani kakwambia watu wanataka kusikilizwa? Kuna mtu jeuri alikuwa kama MKAPA? leo yupo wapi??? Mbona alipofariki mlienda kusomba kwa nguvu wanafunzi ili wakamuage??? Shwain
 
Wewe mleta mada ni mpumbafu kuliko wapumbafu wote propaganda za udanganyifu huletwa na chama tawala kukupumbaza wewem wapinzani siku zote huwaamsha wananchi dhidi ya propogand a za uwongo za chama tawala mfano eti elimu bure. na usiseme watanzania hawasikilizi sema wewe bwege husikilizi
 
Nakumbusha tu
Wakati was utawala wa kikwete bidhaa bei zilikua Kama ifutavyo
Sukari kg 1 sh 1800 Sasa 2800 hadi 3000
Mafuta ya kula litre ilikua 3500 Sasa 6000
Mfuko wa cement ilikua 13,000 Sasa 22000
Bati mita 3 ilikua 14000 Sasa 20000

Chattle ilikua wilaya Sasa ni kitovu Cha utalii Kanda ya ziwa
Chattle ilikua Haina hifadhi ya taifa Sasa Ina burigi game reserve

Kwakifupi gharama za maisha zimepanda Sana toka 2015 hadi sasa 2021
Na kinachonifurahisha ni kwamba wore tunaisoma namba haijalishi una kadi ya chama kile Cha kijani au chama kile Cha zambarau.🤳🤳🤳🤳
 
Hakuna cha kushangaza kwa maoni kama hayo unayotoa. Kuna watu hata kama rais ataamua kuchinja mtu moja kila siku bado watashangilia tu.

Kitu ambacho Mungu alifanya ni kuwa watu hawawezi wakalingana akili hivyo kama wewe lazima pia wawepo ili dunia iendelee.
 
Kama maendeleo hayapelekwi sehemu moja, Basi linganisha maendeleo ya Kisarawe na yale ya ardhi takatifu Chato.

Kisarawe na Nairobi zote zilianzishwa siku moja, zote zikiwa wilaya.

Chato imeanzisha miaka ya katikati ya 90 lakini angalia maendeleo yake ya kuanzia 2015 hadi leo.
Chato ilikuwepo kabla ya mjerumani kutawala Tanzania
 
Kama maendeleo hayapelekwi sehemu moja, Basi linganisha maendeleo ya Kisarawe na yale ya ardhi takatifu Chato.

Kisarawe na Nairobi zote zilianzishwa siku moja, zote zikiwa wilaya.

Chato imeanzisha miaka ya katikati ya 90 lakini angalia maendeleo yake ya kuanzia 2015 hadi leo.
Kuna raslimali zipi kubwa za kunawirisha kisarawe!
 
Watanzania sio wajinga, ukija na hoja za kitoto wanakusikiliza kisa wanapima unachosema.

Hakuna ubishi kuwa upinzani hapa Tanzani ulipata nguvu sababu ya makosa ya Ccm kama chama tawala kuruhusu ufisadi.

Nani asiyekumbuka kuwa Lyatonga Mrema alipata kiki baada ya kuibua ufisadi wa mfanyabiashara Chavda.Mrema akapata kick na kuwa kama mkombozi. Chadema ya Dk Slaa ilisifika kwa kuibua madudu ambayo ndio yamesababisha Ccm ijirekebishe.

Hivi yapata miaka 29 tangu tuingie kwenye siasa za vyama vingi,watanzania wanajua kupima hoja zipi zina mashiko na zipi hazina mashiko. Hivyo sio wakati wa kuburutwa na wapinzani kwa propaganda ambazo hazina mashiko.

Kipindi hiki ambacho ufisadi umebinywa na kila mtanzania anaona maendeleo yanavyofanyika nchini sio rahisi kumshawishi mtu kuwa diversification of economic development haifanyiki hapa Tanzania.

Hivi ninyi wapinzani mnaweza kushawishi umma kuwa sasa maendeleo yapo centralized eneo moja? Kwa kigezo kipi?

Mbona kila mtanzania anajua,sasa hamna hoja. Sababu hoja ya ufisadi iliyokuwa inawabeba haipo. Sasa mnataka kueneza uongo kuwa kuna upendeleo katika kutekeleza miradi ya kimkakati. Hivi mnadhani Watanzania watawaelewa?
Yaani hauwazii tanzania yenye wasomi wanaojielewa ,wenye utambuzi wanao weza kutatua changamoto zao wenyewe ,unabaki kusifia CCM abayo watu wake wote hawajielewe akili zao ziko matakoni ,hawajawahi kufikiria elimu ya tanzania inatakiwa iwe vipi ili itatue shida za watu wala kufikiria ni uchumi upi tunatakiwa kuwa nao.
 
Back
Top Bottom