mwanakwetuu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 407
- 807
Mi najiuliza hawa watu wanaoanzisha thread kama hii wapo Tanzania hii au ni nyingine? Wanaishi maisha haya haya au mengine?
Fatma karume, Maria tseshai, Zito muigizaji? Una kichaa wwHebu wataje hapa acha bla blah..
Lissu lema chahali na wengine wamekimbia nini!?
Hawa walioko humu sio wakosoaji na wala sio wapinzani, ni unafiki tu
Akina zitto maalim lipumba mbatia wote hao kwa sasa eidha wameungana na watesi wao kimya kimya au wamefungwa kisiasa
Nakwambia hivii tumia akili ya kuvukia barabara tu utaona kua hakuna!
Tuko hapa hapa nchini, labda tuwaulize nyie mnaolia kubanwa uhuru, mpo nchi hii hii, auMi najiuliza hawa watu wanaoanzisha thread kama hii wapo Tanzania hii au ni nyingine? Wanaishi maisha haya haya au mengine?
Tatizo sio kubanwa Uhuru hiyo yawezekana ni sehemu ndogo 2,mtu mwenye akili timamu hawezi kushangilia utawala wa maguTuko hapa hapa nchini, labda tuwaulize nyie mnaolia kubanwa uhuru, mpo nchi hii hii, au
Kwanini unasema hawezi kuwa na akili timamu, kwa iyo mm sina akili timamuTatizo sio kubanwa Uhuru hiyo yawezekana ni sehemu ndogo 2,mtu mwenye akili timamu hawezi kushangilia utawala wa magu
Akiwa Waziri alivunja taratibu kwa kunyakuwa mamlaka ya kamati husika.Yani alimuuzia hawara yake?
Kama mauziano yakifuata taratibu shida iko wapi?
Au wewe una muonea wivu huho hawara?
Unaweza kuwa timamu ila una benefit kwny systemKwanini unasema hawezi kuwa na akili timamu, kwa iyo mm sina akili timamu
Huwezi kuwasikiliza kwa sababu kichwani umevia usaha unaonuka kama choo cha sokoni
Una ushahidi kuwa ufisadi na rushwa vimeondoka ? Mie nadhani vimeondoka kama COVID-19 ilivyoondoka, wengine bado wanavaa mask japo mkuu wa nchi kashasema haipoSababu hoja ya ufisadi iliyokuwa inawabeba haipo
Sidhani kama akili zako ziko sawa!Eti Lissu nae alitaka awe Rais!
Usitake tufanane!Sidhani kama akili zako ziko sawa!
Lissu ni moja ya watu wenye utambuzi na akili mno.
Ila kwa watu wajinga kama wewe huwezi kuliona hili!
Kwa hao ulio wataja kwenye ukoo wenu hayupo aliefanikiwa angalau kwa robo ya Bobi Wine au LissuKuna vituko duniani hapa!
Eti Lissu nae alitaka awe Rais!
Kule Uganda nako eti Bob anataka kuwa Rais!
Chato ilikuwepo kabla ya mjerumani kutawala TanzaniaKama maendeleo hayapelekwi sehemu moja, Basi linganisha maendeleo ya Kisarawe na yale ya ardhi takatifu Chato.
Kisarawe na Nairobi zote zilianzishwa siku moja, zote zikiwa wilaya.
Chato imeanzisha miaka ya katikati ya 90 lakini angalia maendeleo yake ya kuanzia 2015 hadi leo.
Kuna raslimali zipi kubwa za kunawirisha kisarawe!Kama maendeleo hayapelekwi sehemu moja, Basi linganisha maendeleo ya Kisarawe na yale ya ardhi takatifu Chato.
Kisarawe na Nairobi zote zilianzishwa siku moja, zote zikiwa wilaya.
Chato imeanzisha miaka ya katikati ya 90 lakini angalia maendeleo yake ya kuanzia 2015 hadi leo.
Mtwara Wana korosho miaka mingi, iliwachukua miaka mangapi kupata lami?Kuna raslimali zipi kubwa za kunawirisha kisarawe!
Yaani hauwazii tanzania yenye wasomi wanaojielewa ,wenye utambuzi wanao weza kutatua changamoto zao wenyewe ,unabaki kusifia CCM abayo watu wake wote hawajielewe akili zao ziko matakoni ,hawajawahi kufikiria elimu ya tanzania inatakiwa iwe vipi ili itatue shida za watu wala kufikiria ni uchumi upi tunatakiwa kuwa nao.Watanzania sio wajinga, ukija na hoja za kitoto wanakusikiliza kisa wanapima unachosema.
Hakuna ubishi kuwa upinzani hapa Tanzani ulipata nguvu sababu ya makosa ya Ccm kama chama tawala kuruhusu ufisadi.
Nani asiyekumbuka kuwa Lyatonga Mrema alipata kiki baada ya kuibua ufisadi wa mfanyabiashara Chavda.Mrema akapata kick na kuwa kama mkombozi. Chadema ya Dk Slaa ilisifika kwa kuibua madudu ambayo ndio yamesababisha Ccm ijirekebishe.
Hivi yapata miaka 29 tangu tuingie kwenye siasa za vyama vingi,watanzania wanajua kupima hoja zipi zina mashiko na zipi hazina mashiko. Hivyo sio wakati wa kuburutwa na wapinzani kwa propaganda ambazo hazina mashiko.
Kipindi hiki ambacho ufisadi umebinywa na kila mtanzania anaona maendeleo yanavyofanyika nchini sio rahisi kumshawishi mtu kuwa diversification of economic development haifanyiki hapa Tanzania.
Hivi ninyi wapinzani mnaweza kushawishi umma kuwa sasa maendeleo yapo centralized eneo moja? Kwa kigezo kipi?
Mbona kila mtanzania anajua,sasa hamna hoja. Sababu hoja ya ufisadi iliyokuwa inawabeba haipo. Sasa mnataka kueneza uongo kuwa kuna upendeleo katika kutekeleza miradi ya kimkakati. Hivi mnadhani Watanzania watawaelewa?