mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,558
- 9,784
Mpaka ifikapo mwaka 2024 naamini makada wengi wenye kuusaka uraisi na wala hawatakuwa kuwa waoga kuanza kujenga timu za uungaji mkono za chini kwa chini. Naiona nyota ya kijana January Makamba ikimetameta.
Ijapokuwa kutakuwa na jaribio la zongo la hatari kubwa sana dhidi yake kutoka kundi la CCM Mpya, zongo hilo haliwezi kufurukuta, kwa kuwa wana CCM Asili na wakiungana na Wana Mitandao wa Kikwete watakuwa wamejipanga vyema hasa.
Hapo itampasa kiongozi anayemaliza muda wake kuwa mpole na wapambe waanze tu kuachia mema ya nchi kuwa chini ya timu nyingine ya ushindi. What comes around goes around. That will be the complete end of Chato' modus of operandi.
Ijapokuwa kutakuwa na jaribio la zongo la hatari kubwa sana dhidi yake kutoka kundi la CCM Mpya, zongo hilo haliwezi kufurukuta, kwa kuwa wana CCM Asili na wakiungana na Wana Mitandao wa Kikwete watakuwa wamejipanga vyema hasa.
Hapo itampasa kiongozi anayemaliza muda wake kuwa mpole na wapambe waanze tu kuachia mema ya nchi kuwa chini ya timu nyingine ya ushindi. What comes around goes around. That will be the complete end of Chato' modus of operandi.