Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
kwa ufupi kikubwa kinachoiua ccm ni unafiki. Hawaambiani ukweli, kila mtu anaona chama kina hali mbaya lakini wanaishia kuwaficha viongozi wa juu ukweli. Wakiambiwa ukweli wanasema ni matusi na inakera?? Kama mtu ni dhaifu au lege lege aambiwe ukweli wake ili ajibadilishe. Hakuna haja ya kumumunya maneno, ukweli utabaki kuwa ukweli tu.