Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,606
Kwanza tambua Mapenzi ni ugonjwa wa akili.
Pili ni vigumu sana kumuamsha mtu aliyejifanya amelala
Mkuu hio sauti unayosema unaisikia ndio ushirikina wenyewe huo,,wala hata sio sauti ya Mungu..
DNA imekukataa, Wife kakuambia ukweli kabonyezwa... Yote hayo umekataa kukubali na bado unahisi una nguvu ya Mungu ndani yako.
Acha kujilisha upepo achana na hio kenge,,,utakuja kulia sana mbele ya safari..
Hio amani unayosema unayo ndio ushirikina wenyewe,, Mwanaume huwezi gongewa halafu ujifanye una amani...
Pili ni vigumu sana kumuamsha mtu aliyejifanya amelala
Mkuu hio sauti unayosema unaisikia ndio ushirikina wenyewe huo,,wala hata sio sauti ya Mungu..
DNA imekukataa, Wife kakuambia ukweli kabonyezwa... Yote hayo umekataa kukubali na bado unahisi una nguvu ya Mungu ndani yako.
Acha kujilisha upepo achana na hio kenge,,,utakuja kulia sana mbele ya safari..
Hio amani unayosema unayo ndio ushirikina wenyewe,, Mwanaume huwezi gongewa halafu ujifanye una amani...