Naangalia mkutano wa kenyatta na ruto nakuru leo, tafsiri yangu

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,598
3,671
Ama kweli majirani zetu wa kenya wapo katika kipindi kigumu sana kuelekea uchaguzi mkuu, naangalia willium rutto aliyoingizwa mkenge na tajiri wa kutupwa uhuru kenyata na wao kutengeneza muungano wao.Ukiangalia sura ya kenyatta pale nakuru leo ni wazi kabisa na macho yake wanajiandaa kuififisha nyota ya kenya kwa ukabila.Sioni hoja yeyote wanayojenga zaidi ya maslahi ya kikabila.Kenya ikichafuka tena, Tanzania haitakuwa salama katika kuelekea 2015 na unaweza kuwa mwanzo wa machafuko ya kudumu katika eneo la Afrika mashariki ukizingatia kuwa wanaowania urais huko kenya wana mafungamano na viongozi kadhaa wa kisiasa hapa Tanzania katika vyama vyote vya siasa ( upinzani na chama tawala)
 
Unamaanisha nini? mbona hoja yako haieleweki? ni wazi kabisa ww ni mgeni wa siasa za kenya, yaani unalinganisha ukabila wa kenya na TZ? kamanda jipange tena, hoja yako imekosa locus stand
 
I really can't understand what you are trying to put across,what is your reason of putting tanzania in this your topic?because as far as I know tz has got no such problem of tribalism and we thank GOD for that but as for the Kenyans shida iyo wanayo na inaendelea kuwatafuna.
 
Back
Top Bottom