Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Hata, Police wakininyima Kibali, maana naona Kova hakubali kutoa kibali cha kuandamana, wakati ni haki yangu kwani ni ya amani, nitaandamana peke yangu na bango langu kubwa la kupinga matokeo ya Urais ya kuteuliwa kwa JK kwani hakuchaguliwa na watu wengi walituibia kura NEC wakamteua, nasema nitaanza pale M/Mmoja hadi NEC hdqtrs, na bango langu JK SI CHAGUO LETU NI CHAGUO LA NEC na SI RAIS wangu, nasema siongei na mtu ni mimi na bango langu kwa miguu yangu hadi NEC nadhani Jmosi hii au JTatu ijayo, madudu tupu, mara TAKUKURU hovyo, CHENGE mwizi, eti sasa Anna Makinda ni Spika Sikubali hadi kieleweke, Anna ataendesha bunge au....? yaani ni hovyo hovyo tu