Elections 2010 Naandamana hata peke yangu kutoka m/moja hadi nec kupinga matokeo ya jk

Wameiba Kura

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
390
3
Hata, Police wakininyima Kibali, maana naona Kova hakubali kutoa kibali cha kuandamana, wakati ni haki yangu kwani ni ya amani, nitaandamana peke yangu na bango langu kubwa la kupinga matokeo ya Urais ya kuteuliwa kwa JK kwani hakuchaguliwa na watu wengi walituibia kura NEC wakamteua, nasema nitaanza pale M/Mmoja hadi NEC hdqtrs, na bango langu JK SI CHAGUO LETU NI CHAGUO LA NEC na SI RAIS wangu, nasema siongei na mtu ni mimi na bango langu kwa miguu yangu hadi NEC nadhani Jmosi hii au JTatu ijayo, madudu tupu, mara TAKUKURU hovyo, CHENGE mwizi, eti sasa Anna Makinda ni Spika Sikubali hadi kieleweke, Anna ataendesha bunge au....? yaani ni hovyo hovyo tu
 
Hata, Police wakininyima Kibali, maana naona Kova hakubali kutoa kibali cha kuandamana, wakati ni haki yangu kwani ni ya amani, nitaandamana peke yangu na bango langu kubwa la kupinga matokeo ya Urais ya kuteuliwa kwa JK kwani hakuchaguliwa na watu wengi walituibia kura NEC wakamteua, nasema nitaanza pale M/Mmoja hadi NEC hdqtrs, na bango langu JK SI CHAGUO LETU NI CHAGUO LA NEC na SI RAIS wangu, nasema siongei na mtu ni mimi na bango langu kwa miguu yangu hadi NEC nadhani Jmosi hii au JTatu ijayo, madudu tupu, mara TAKUKURU hovyo, CHENGE mwizi, eti sasa Anna Makinda ni Spika Sikubali hadi kieleweke, Anna ataendesha bunge au....? yaani ni hovyo hovyo tu
Ni sawa ila Ujiandae kabisa kunyea debe....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom