Naandaa Wanasheria Kuondoa Neno Mungu Kwenye Wimbo wa Taifa

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,302
23,020
Inatambulia Tanzania kama Taifa haina Dini. Ni nchi isiyoendeshwa kwa dini.

Pia inatambulika vema nchi yetu ina wenye imani tofauti zenye kuamini Mungu na zisizo amini Mungu.

Watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu tupo wengi na tuna haki sawa na wenye imani hiyo.

Kwa Takribani miaka zaidi ya 50 tusiokuwa na dini naona kama tumetengwa katika siasa yetu.

Serikali imekuwa ikiwasikiliza viongozi wa dini na kuliacha kundi kubwa ambalo halina imani ya Mungu.

Sasa nina andaa wanasheria ambao watafungua kesi Mahakama Kuu kuondoa Neno Mungu katima Wimbo wa Taifa.

Baada ya hapo nitaandaa conference ya wote wasiokuwa na dini ili na sisi tuwe na uongozi wetu.

Nawasilisha.
 
Inatambulia Tanzania kama Taifa haina Dini. Ni nchi isiyoendeshwa kwa dini.

Pia inatambulika vema nchi yetu ina wenye imani tofauti zenye kuamini Mungu na zisizo amini Mungu.

Watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu tupo wengi na tuna haki sawa na wenye imani hiyo.

Kwa Takribani miaka zaidi ya 50 tusiokuwa na dini naona kama tumetengwa katika siasa yetu.

Serikali imekuwa ikiwasikiliza viongozi wa dini na kuliacha kundi kubwa ambalo halina imani ya Mungu.

Sasa nina andaa wanasheria ambao watafungua kesi Mahakama Kuu kuondoa Neno Mungu katima Wimbo wa Taifa.

Baada ya hapo nitaandaa conference ya wote wasiokuwa na dini ili na sisi tuwe na uongozi wetu.

Nawasilisha.
Huwezi shindana na Nguvu kuu iliyo hai kwa mawazo yako yaliyokufa.
 
Inatambulia Tanzania kama Taifa haina Dini. Ni nchi isiyoendeshwa kwa dini.

Pia inatambulika vema nchi yetu ina wenye imani tofauti zenye kuamini Mungu na zisizo amini Mungu.

Watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu tupo wengi na tuna haki sawa na wenye imani hiyo.

Kwa Takribani miaka zaidi ya 50 tusiokuwa na dini naona kama tumetengwa katika siasa yetu.

Serikali imekuwa ikiwasikiliza viongozi wa dini na kuliacha kundi kubwa ambalo halina imani ya Mungu.

Sasa nina andaa wanasheria ambao watafungua kesi Mahakama Kuu kuondoa Neno Mungu katima Wimbo wa Taifa.

Baada ya hapo nitaandaa conference ya wote wasiokuwa na dini ili na sisi tuwe na uongozi wetu.

Nawasilisha.
Ungehangaisha akili yako kutafuta pesa tu ujikwamue kwenye majukumu kadhaa kuliko kuja na wazo kama hili
 
Huwezi shindana na Nguvu kuu iliyo hai kwa mawazo yako yaliyokufa.
Kumbe, mawazo yake yalikufa? Una ushahidi gani? Wasioamini mungu si wapagani. Wapagani wanaamini mungu! Tena Tanzania haina dini. Tatizo ni kwamba watanzania wengi hawajui mambo mengi kuhusu dini.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom