COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
Dah i see umenikumbusha mbali wkt naanza maisha nimelala jamaa wakati anamwandaa demu wake si demu akarusha chu*pi juu ikadondokea kwangu chumba kilikuwa hakina ceiling board mi nikajua bomu ndo usingizi ulikuwa unaanza kukolea nilishtuka na kupiga yowe kucheck dah chu*pi imetoka chumba cha mbili
hahahaha siku nyingine ungerushiwa watoto mdomoni mkuu