Naamini wenye Kujua Uongozi wa nchi ni ni CCM sasa Wanajuta!

Sindano ya dawa inauma ili upone tulia bado malaika ..umegeuka shetwani
 
kitu ulichoandika pengine ulikuwa unajambo, hujalifafanua vizuri, maneno yako machache
 
Ulimaanisha Kama cha huyu?


Umeyataka Mwenyewe! Unaleta vita vya mawe sio? Mimi policy yangu ukinijia na Manati napiga na Stinger Missile. Utaishia kulikoroga badala ya kupamba bora usepe kama Lizaboni Sepa huna hoja!

Mimi nimesema English yako bwana wewe mbaya! Usikwepeshe mada!
 
Tangu tupate uhuru hatujawahi kukosea kama awamu hii. Tumepata rais mbovu haijawah tokea. Athar zake zimeanza mapema lakn kadri siku zinavyosonga tutazd athirika wote tutajuta
 
Tangu tupate uhuru hatujawahi kukosea kama awamu hii. Tumepata rais mbovu haijawah tokea. Athar zake zimeanza mapema lakn kadri siku zinavyosonga tutazd athirika wote tutajuta
Baba yako hawezi kuwa Rais mzuri kama jembe letu JPM!
 
Mtoa mada naomba kukuuliza swali lenye vipengele.......

Naomba nijue kwanza haya mawazo ni yako personally au unawakilisha group ya watu na kama ni group ni ya akina nani hiyo group....

Pili, niambie katika awamu hii mpya na changa unahisi umeathirika vipi personally usianze kuniambia mambo mfano ya mizigo pale bandari maana najua bandari ni public institution si mali yako hivyo haikuhusu,usianze pia kuniambia kuhusu sijui makampuni kuuzwa sijui nini......nataka unipatie in detail maisha yako wewe binafsi nini kimerudi nyuma na useme wazi maana kama umekuwa muwazi kuhusu hisia zako kwa raisi haushindwi kutupa ukweli juu ya maisha yako binafsi.

Tatu, hebu zungumzia nini kifanyike yaani kuwa kama unamshauri raisi ili utusaidie sisi raia tunaopenda kuona mambo yanasonga na sio watu walalamishi kila uchao ambao wanazungumza mambo yale yale....mfano kila mtu anasema sijui bandari mizigo imepungua lakini katika wanaosema utagundua ni 10% ndio walishajihusisha na shughuli za bandari 90% waliobaki hata bandarini hawajawahi kufika plus hawajui hata purukushani za bandarini zinafanywaje.


Maoni yangu kuhusu mada hii na nyingine kama hii ni kama ifuatavyo;

Watanzania kwa miaka mingi tokea uhuru tumekuwa ni raia wa kutapatapa.....si kisiasa si kiuchumi si kijamii kwa maana ya kwamba hatujitambui ni dimension au muelekeo upi ambao tunatakiwa kufuata ili tufikie taifa la maziwa na asali.

Maendeleo hayaji kwa aina hii ya kuishi tumayoishi. Kila uchao watu wahajui zuri au baya wao ni kulalamika kwa kila linalofanywa.
Vilio vya watanzania kwa sasa nikisikiliza kwa makini naona wengi wao kama sio kufuata mkumbo wa ulalamishi basi ni watu ambao walishazoea maisha ya kuunga unga sasa wanalalamika maana wameshaona mfumo uliokuwa ukiwalea umeanza kuporomoka.

Mimi kwa nafasi yangu kama raia sioni umuhimu wa kupiga kelele au kuwa mlalamishi. Maana kiukweli, hivi unadhani huko kulalamika kwako kuna mchango wowote katika swala la maendeleo ya taifa letu?!
Me nilitegemea kuwa kwakuwa mazingira sasa yapo vizuri kwa watu waadilifu kupambana na kujenga uchumi basi tuna kaa chini na kuwasikiliza ama kuwaunga mkono baadhi ya raia wasiojielewa wanaolalama kama vichaa.
Fanya biashara ......kama upo kazini basi pambana sana kufanya kazi kiuadilifu maana kunamijitu kwenye ofisi za serikali ni bora ifutwe kazi wawekwe vijana wapya watakao pambana na kusaidia kujenga taifa maana wengi wapo mtaani.

Mheshimiwa raisi anaweza kuwa anafanya kitu ambacho hakikupendezi machoni pako. But unajua wazi kuwa mheshimiwa raisi ni taasisi ambayo inafanya kazi kwa utaratibu wake na kwa mujibu wa katiba......hivyo basi wewe kwa nafasi yako jenga taifa na muache raisi afanye kazi yake......

Sasa ukija hapa unaongea maneno ya kudhoofisha jitihada za raia kupambana na maisha utakuwa ndio umefanya nini?!

Hebu kuwa serious na maisha na kauli zako ndugu mwandishi....unaweza kuwa unasema ukweli lakini si kila ukweli ni wa kusikilizwa maana si kila ukweli ni wa kujenga ukweli mwingine ni wa kuharibu na kupotezesha mwelekeo wa wengine.

So mjitahidi wadau kuwa serious na haya maisha ya sasa msiishi kwa kutaka serikali ifanye kila kitu ati ninyi ni akina nani, wakati wewe unapiga domo kuna watu wanajipanga huko ukijashtuka.miaka 10 imepita haujafanya maendeleo........
 
Katika viongozi bora duniani magufuli hawezi kuingia kwenye 50bora ... Siku zote kiongozi mbovu hutumia vyombo vya dola kulinda maslahi yake au kutisha watu wa muogope....... Watu hawawezi kuwa wanalalamika wanaonewa nakuumia wewe unacheka nakusema wanao lalamika niwapigadili this is wrong..... Sulemani alipo ulizwa na mungu aseme atakacho mungu ampe alisema hekima...... Wachungaji, nashehe, naviongozi wa dini tunapaswa kumumbea raisi apewe hekima na nibora makamu wake ndo angekuwa raisi but huyu .......... No hekima.....
 
Mimi Pamoja na Kuwa Nilitaka na Niliona ni Lazima CCM iwekwe pembeni 2015 ili kupisha Mabadiliko ya kweli. Sikuwa miongoni mwa wendawazimu waliodhani Tanzania itakuwa Better of kama CCM ikifa. Niliamini na Ninaendelea Kuamini Kuwa CCM pamoja na Ufisadi wote, ilikuwa na Bado ina watu wengi Wazalendo.

Ni hao Ndio Ninaosema sasa lazima watakuwa wanajuta sana, Kuruhusu Magufuli kugombea kwa chama chao na Kuwa Rais wa Tanzania, na Mbaya zaidi Kumfanya Mwenyekiti wa CCM taifa.

Sababu za mimi Kusema hivyo? Magufuli anao uwezo Mmoja tu na kwa Maoni ni yangu Ni kipaji ambacho pia Watu wengi waliokuwa na autism utotoni wanakuwa navyo, Photographic memory! Kwa bahati mbaya tunadhani kipaji hiki ni Kiashiria cha Akili sana au Hekima, Very Wrong!

Magufuli hana uwezo wala Utashi wa Kuongoza watu kwa Kuwa hajali anamkanyaga nani, au juu ya nini Kufika atakako, ubaya ni Kuwa watu wa aina yake, Wanadhani ndio center ya gravity, na sayari zote zinatakiwa zimzunguke yeye.

nyie mna laana mara hoo siamini kama magufuli atarudi na unyekit dodoma , huyo akapata 100% ya kura mkakaa kimya na sasa mnaaza tena ngonjera ya kitoto ,sijui mmelogwa?
 
Mtoa mada naomba kukuuliza swali lenye vipengele.......

Naomba nijue kwanza haya mawazo ni yako personally au unawakilisha group ya watu na kama ni group ni ya akina nani hiyo group....

Pili, niambie katika awamu hii mpya na changa unahisi umeathirika vipi personally usianze kuniambia mambo mfano ya mizigo pale bandari maana najua bandari ni public institution si mali yako hivyo haikuhusu,usianze pia kuniambia kuhusu sijui makampuni kuuzwa sijui nini......nataka unipatie in detail maisha yako wewe binafsi nini kimerudi nyuma na useme wazi maana kama umekuwa muwazi kuhusu hisia zako kwa raisi haushindwi kutupa ukweli juu ya maisha yako binafsi.

hao ndo waliokuwa wanaeneza propaganda za kishamba et magufuri hatorudi na uenyekiti kutoka dodoma , ni kagroup flan hivi kutoka ufipa ,kimekaa kupiga ramli
 
Its only you! Lizaboni msugura makalio za Viongozi wapumbavu kwa maneno ya hadaa! What do u stand to gain? Nilidhani ni mtu significant! By the way Mimi sasa ndio najitayarisha kulala siko kwa mfuga mbwa kama wawe unayetumia Vijikalio vyako kulinda upumbavu kwa kukosa vyote power and knowledge. Unaasume kila Kitu, oh unaamka asubuhi! Mimi niko Across Atlantic wewe bwana mdogo Kunguni wewe! Unaleta vimatusi uchwara, Mimi Mtoto wa Mjini, na vilevile wa Kimataifa. Nimekaa na wahuni, Redneck u name it! Niko kwenye Contruction business kwenye wahuni wa wahuni Lizaboni unaamka na manini waliokumwagia akina nani wa ccm kwenye maninilii yako badala ya kwenda msalani ukanawe hiyo aibu, Lisaboni Kunguni wewe unataka matusi na mimi. The F..ck u too soft in my world go away Weasel.
Uwiiiiiiiiiiiiiii!
 
Jifunze kua na uwezo wakudadafua mambo, na sio ushabiki. Tukienda kwa jazba, hasira na unafiki, hatutafika popote. Learn to reason please!
You mean stupid reasoning!? I can't wat to see rubbish circulating unquestionably!
 
You mean stupid reasoning? I can't wait to see rubbish circulating unquestionably!
 
Kula Pesa za maafa ni uzalendo, kuwadanganya wanafunzi wa vyuo vikuu utawapa mikopo ndio uzalendo au kusababisha ugumu wa maisha? Mwananchi wa kitanzania amenufaika nn maana hospital hakuna dawa mdororo wa uchumi
Mwenye ugumu WA maisha ujiseme mwenyewe usiwaweke watu wote, fanya kazi maisha yatakua mazuri tuu
 
Kula Pesa za maafa ni uzalendo, kuwadanganya wanafunzi wa vyuo vikuu utawapa mikopo ndio uzalendo au kusababisha ugumu wa maisha? Mwananchi wa kitanzania amenufaika nn maana hospital hakuna dawa mdororo wa uchumi
Wewe mwenyewe mpiga dili
 
Back
Top Bottom