Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mjadala wa chanjo ya Corona una msimamo wa nchi na msimamo wa mtu binafsi.
Nchi haifi lakini mtu mmoja mmoja anakufa aidha kwa mapenzi ya Mwenyenzi MUngu au kwa kutotimia maarifa aliyopewa na Mwenyenzi MUngu.
Kama chanjo hiyo inaonekana inafanya kazi na watu wanaamini inafanya kazi haiwekani ikawa baadhi ya watu hasa wenye uwezo au wanaosafiri nje wakawa wanajichanja bila kuutangazia umma?
Lakini pia ugonjwa huu unagusa zaidi uhai wa watu wenye umri mkubwa na wale wenye changamoto za kiafya, kundi hili litaathirikaje na chanjo hiyo wakati wapo kwenye risk tayari?
Haiwezekani viongozi wengine wanaopuuza kuvaa barakoa na kukataa kuchukua taadhari wakawa wameshachanjwa?
Uhai siku zote ni Jambo binafsi hivyo nafungua mjadala binafsi baada ya mjadala wakitaifa kufungwa kwamba nchi yetu haikubaliani na chanjo ya Corona.
Nchi haifi lakini mtu mmoja mmoja anakufa aidha kwa mapenzi ya Mwenyenzi MUngu au kwa kutotimia maarifa aliyopewa na Mwenyenzi MUngu.
Kama chanjo hiyo inaonekana inafanya kazi na watu wanaamini inafanya kazi haiwekani ikawa baadhi ya watu hasa wenye uwezo au wanaosafiri nje wakawa wanajichanja bila kuutangazia umma?
Lakini pia ugonjwa huu unagusa zaidi uhai wa watu wenye umri mkubwa na wale wenye changamoto za kiafya, kundi hili litaathirikaje na chanjo hiyo wakati wapo kwenye risk tayari?
Haiwezekani viongozi wengine wanaopuuza kuvaa barakoa na kukataa kuchukua taadhari wakawa wameshachanjwa?
Uhai siku zote ni Jambo binafsi hivyo nafungua mjadala binafsi baada ya mjadala wakitaifa kufungwa kwamba nchi yetu haikubaliani na chanjo ya Corona.