Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
'' Mara tu baada ya mazoezi kabla ya timu kuelekea nchini Panama,kocha mkuu wa Sounders bwana Sigi Schmid aliniita na kufanya naye mazungumzo ya takribani dakika kama 20 hivi,kimsingi alikuwa ananiuliza maswali mbali mbali, mfano aliniuliza kama nipo tayari kuichezea SEATTLE SOUNDERS pi akaniuliza kama ningefurahia kuishi hapa SEATTLE ,namimi nilimjibu kuwa nipo tayari ,basi baada ya hapo akaanza kunielezea namna nilivyofanya vizuri kwenye majaribio na angependa niichezee Sounders,mwisho kabisa akaniambia kwakuwa muda wangu wa majaribio umekwisha sina budu kurejea nyumbani taratibu husika zifanyike ili niweze lurejea hapa mapema mwezi december kwa ajili ya kujiunga na timu moja kwa moja ''- MRISHO NGASSA
My take:. Issue ni kuwa je atakuwa fit na kumantain perfomance mpaka hiyo December au ndio changa la macho kama la West Ham, otherwise big up Ngassa kwa kufuzu majaribio ila kuwa makini kwenye mazungumzo ya Maslahi maana one of the Key Sounders player Rosaire analipwa US$ 42000 per annum!Kwa kuanzia namshauri Ngassa aongee na Nizar Khalfan kuhusu mshahara anaolipwa na Vancouver White Caps japo mishahara ya wachezaji wa bongo ni siri sana! Pia waweza peruzi hapa http://gosounders.com/roster/salaries/ kujua salary structure ya Seattle Sounders FC.
Tatizo la MSL ni ligi kubwa duniani ila wachezaji wanalipwa kiduchu sana isipokuwa wale wa ulaya wenye majina kama Beckham, Freddie Ljungberg, Thierry Henry etc.Source: Shafih Dauda Sports Blog
My take:. Issue ni kuwa je atakuwa fit na kumantain perfomance mpaka hiyo December au ndio changa la macho kama la West Ham, otherwise big up Ngassa kwa kufuzu majaribio ila kuwa makini kwenye mazungumzo ya Maslahi maana one of the Key Sounders player Rosaire analipwa US$ 42000 per annum!Kwa kuanzia namshauri Ngassa aongee na Nizar Khalfan kuhusu mshahara anaolipwa na Vancouver White Caps japo mishahara ya wachezaji wa bongo ni siri sana! Pia waweza peruzi hapa http://gosounders.com/roster/salaries/ kujua salary structure ya Seattle Sounders FC.
Tatizo la MSL ni ligi kubwa duniani ila wachezaji wanalipwa kiduchu sana isipokuwa wale wa ulaya wenye majina kama Beckham, Freddie Ljungberg, Thierry Henry etc.Source: Shafih Dauda Sports Blog