Naamini Lema atakuwa ameinga katika kumbukumbu ya vitabu vya sheria

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Kesi ya Lema katika kupata haki yake ya dhamana naamini itaingia katika kumbukumbu ya vitabu vya sheria duniani na nyaraka nyingine za kisheria na itakuja kutajwa kama mfano katika kesi nyingine za kisheria duniani na pengine hata kuchapishwa katika majalada mbalimbali ya kimataifa yanayohusu maswala ya sheria.

Hata hivyo,inaweza ikawa ni kumbukumbu ya kipekee na pengine ya kushangaza kwa vizazi vijavyo na katika tasnia nzima ya sheria duniani.
 
Ukweli kabisa nilikuwa nimekaa nyumbani jioni hii nikawa za sana hili jambo, nini kinamtokea Lema na sarakasi hizi mpka lini.......nikaenda mbali zaidi kimawazo kama hao wanaomfanyia hivyo wana dini kweli, wanajisikiaje kwa matendo yao......mwisho wa siku nikasema "hata hili kina mwisho"
 
Kesi ya Lema katika kupata haki yake ya dhamana naamini itaingia katika kumbukumbu ya vitabu vya sheria duniani na nyaraka nyingine za kisheria na itakuja kutumiwa kama mfano katika maeneo mengi ya kisheria.

Hata hivyo,inaweza ikawa ni kumbukumbu ya kipekee na pengine ya kushangaza kwa vizazi vijavyo.
Kuna Nguli mmoja wa sheria amening'ata sikio kwamba wakati wowote kesi hii ikiisha wanaweza kuanza kuitumia kimasomo kwenye vyuo vya sheria , huyu yuko chuo cha mahakama lushoto .
 
Of course yako makusudi ya Mungu ktk hili jambo.Wabaya wake wanatekeleza mawenzi ya Mungu bila kujijua
 
Kesi ya Lema katika kupata haki yake ya dhamana naamini itaingia katika kumbukumbu ya vitabu vya sheria duniani na nyaraka nyingine za kisheria na itakuja kutumiwa kama mfano katika maeneo/kesi nyingi za kisheria na pengine hata kuchapishwa katika majalada mbalimbali duniani yanayohusu maswala ya sheria.

Hata hivyo,inaweza ikawa ni kumbukumbu ya kipekee na pengine ya kushangaza kwa vizazi vijavyo.
Kuna nchi nyingine huko duniani wanajua kuwa Mh Lema ana kesi ya kujibu zaidi ya hapa Tanzania tena zaidi sana watu wa Arusha mjini!!!?
 
Kuna Nguli mmoja wa sheria amening'ata sikio kwamba wakati wowote kesi hii ikiisha wanaweza kuanza kuitumia kimasomo kwenye vyuo vya sheria , huyu yuko chuo cha mahakama lushoto .
Kasome upya somo linaitwa Legal Method lbd litakusaidia mazingira ya kesi kuwa reported na kutumiwa kama case law
Af urudi apa ukomenti kuhusu hyo kesi ya teja wenu
 
Kuna nchi nyingine huko duniani wanajua kuwa Mh Lema ana kesi ya kujibu zaidi ya hapa Tanzania tena zaidi sana watu wa Arusha mjini!!!?
Vile vile usisahau kwenye huu ulimwengu tuna kesi huwa zinatajwa kama "mockery of trial".
 
aisee mada nyingine unaongea kitu kingine,

haya sawa lowassa ni fisadi si kuna mahakama ya mafisadi nitafurahi nikiona wamempeleka kule.

siku moja moja uwe unaficha ujinga wako
Hao walio tuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi na wakaenda mbali zaidi kwa kusema ushahidi wanao, ndio tunao wataka wampeleke
 
Nilisema mahali kwenye kesi hii kwamba there is something wrong somewhere kweye mifumo yetu utoaji haki. Haiwezekani kesi ya kijinga kama hii dhamana yake ikawa ni issue kwa muda wote huo.
 
Tatizo ni Jaji mkuu Othman Chande anajipendekeza kwa Magufuli asimtoe kwenye hiyo nafasi,ndiyo maana anajipendekeza ccm huku majaji wake wakifanya utumbo na yeye yuko kimya,njaa mbaya sana mtu umeshazeeka lkini bado unajipendekeza kwa rais eti usimuhudhi unashindwa kufanya mambo ya maana kwenye kusimamia haki.kesi gani hii upande wa serikali unatetemekewa hivi,poor ccm
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom